A
Anonymous
Guest
Nimeona nishiriki nanyi ninavyojisikia,
Napitia maumivu sana moyoni, hadi sasa nahisi kama naelekea kwenye dalili za ugonjwa wa moyo!
Ipo hivi, nimekata tamaa ya maisha yangu, namuomba Mungu anichukue tuu, labda nitapata nafuu.
Maisha yameniumiza mno.😞
ILANI: Sijataka kutumia ID yangu hapa JF, nahitaji ushauri nifanye nini katika hali kama hii.
Napitia maumivu sana moyoni, hadi sasa nahisi kama naelekea kwenye dalili za ugonjwa wa moyo!
Ipo hivi, nimekata tamaa ya maisha yangu, namuomba Mungu anichukue tuu, labda nitapata nafuu.
Maisha yameniumiza mno.😞
ILANI: Sijataka kutumia ID yangu hapa JF, nahitaji ushauri nifanye nini katika hali kama hii.