kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,297
- 9,541
Wao wanaangalia mabinti waliojazia mwili sio talent ni ujinga tupu.Hua nashangaa pia,wasanii ni talentless wana rely kwenye looks tu.Hawana ideas these guys hata kuandika script itayomfanya mtazamaji abaki na shauku hawawezi.