Movie mbaya uliyowahi kuitazama!!

Movie mbaya uliyowahi kuitazama!!

Bongo movie sijui kwanini wanazidi kuzitangaza [emoji23][emoji23][emoji23]

Hua nashangaa pia,wasanii ni talentless wana rely kwenye looks tu.Hawana ideas these guys hata kuandika script itayomfanya mtazamaji abaki na shauku hawawezi.
 
Dah Kuna Movie moja picha linaanza jamaa amekaa karibu na dirisha anatizama nje nyumba nyingine ni ndege tu wanapita na jamaa haongei hadi mwisho yupo hapo hapo movie ya saa moja na nusu jina nimelisahau nilijuta kuitizama baada ya nusu saa nikaanza kuiforwad maybe kuna action yeyote ile zaidi nikaona majina and then The End. kila mtu alichukia home enzi hizo kanda mnakodisha
 
Spectre ya James Bond

Ni mbaya au pengine hukuielewa? Movie za Bond mara nyingi zimekuwa na challenge hiyo ya watu kutokuzielewa, huwa zinahitaji akili ya ziada kidogo kwa sababu mara zote zinahusisha mission za ki-intelijensia. Kama hukuipenda basi nashauri uangle zile za zamani alizocheza muasisi wao Sean Connery na aliyemfuatia, Roger Moore. Zote ni nzuri sana utazipenda.

Kwa mfano, kuna moja amecheza Sean Connery inaitwa DIAMOND ARE FOREVER ni nzuri sana pia. Kuna kipindi katika pilika pilika zake za u-spy, alilazimika kwenda Amsterdam Uholanzi, halafu alipofika huko, akaenda akapanda kwenye TOUR BOATS ambazo huwa zina-operate kwenye canals za pale Amsterdam. Zina tape iko pre-recorded ambayo ni special kwa ajili ya kutoa maelezo kwa watalii. Miaka kadhaa huko nyuma, mimi pia niliwahi kwenda Amsterdam halafu mwenyeji wangu siku moja akanipeleka nikaenda nikapanda hizo tour boats. Mpaka leo huwa ninapokuwa ninaiangalia hii movie ya JB, naona kama ni mimi nilimrekodi kipande hicho siku hiyo nilipokuwa Amsterdam halafu nikaja nikakipachika kwenye movie yake

Kipande ninachokiongelea ni hiki hapa:




Na hiyo sauti inayoongea siyo mtu, ni tape
 
kuna limuvi limoja mdau kanleyea halina jina ni manamba namba 2 ani tangu movie inaanza characters ni wawili, me na ke wapo kitandani , Nkajua ni mnyanduano wa kufa kiume dadeq mpaka dakika ya 30 wanabofonga 2 nkatupia kwa dustbin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mbaya au pengine hukuielewa? Movie za Bond mara nyingi zimekuwa na challenge hiyo ya watu kutokuzielewa, huwa zinahitaji akili ya ziada kidogo kwa sababu mara zote zinahusisha mission za ki-intelijensia. Kama hukuipenda basi nashauri uangle zile za zamani alizocheza muasisi wao Sean Connery na aliyemfuatia, Roger Moore. Zote ni nzuri sana utazipenda.

Kwa mfano, kuna moja amecheza Sean Connery inaitwa DIAMOND ARE FOREVER ni nzuri sana pia. Kuna kipindi katika pilika pilika zake za u-spy, alilazimika kwenda Amsterdam Uholanzi, halafu alipofika huko, akaenda akapanda kwenye TOUR BOATS ambazo huwa zina-operate kwenye canals za pale Amsterdam. Zina tape iko pre-recorded ambayo ni special kwa ajili ya kutoa maelezo kwa watalii. Miaka kadhaa huko nyuma, mimi pia niliwahi kwenda Amsterdam halafu mwenyeji wangu siku moja akanipeleka nikaenda nikapanda hizo tour boats. Mpaka leo huwa ninapokuwa ninaiangalia hii movie ya JB, naona kama ni mimi nilimrekodi kipande hicho siku hiyo nilipokuwa Amsterdam halafu nikaja nikakipachika kwenye movie yake

Kipande ninachokiongelea ni hiki hapa:




Na hiyo sauti inayoongea siyo mtu, ni tape
James bond movie zake karibia zote nazipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inception ni movie kali..labda hukuielewa tu...ila kama ushawahi kufatilia na kusoma projects za US kama MK-ULTRA utaielewa ile movie, sometimes huwa nawaza ya kwamba kuna baadhi ya movies huwa zinatengenezwa either kututabilia kitakachofuata au kutuandaa kisaikolojia na yajayo ili tuyachulie poa..INCEPTION ni moja wapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu Wanachanganya Kati Ya Movie Mbaya Na Movie Ambayo Hawajaielewa. Mfano Movie Ya Leonardo DiCaprio (Inception) Usipoielewa Hii Movie Lazima Utaiona Ni Mbaya.

Pia Kuna Movie Nyingine Inakubidi Uiangalie Zaidi Ya Mara Moja Kidogo Kidogo Utaanza Kuielewa Na Utaipenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom