Movie gani imekubamba zaidi 2016?

Movie gani imekubamba zaidi 2016?

Mda mwingi nimekua nikiangaika Na kupakua torrent kwenye PC ilikua full kuwaza Mb kumbe technology ilisharahishwa 500mb napakua mov zaid ya moja ubora fresh kwa phone yangu
Wapo vzr sn hao jamaa wa torrent,
 
Naomba kufahamu kama kuna web nzuri kudownload movie zenye quality nzuri but ziwe na mb ndogo..!
Kick ass torrent ndo wapo vizuri ( kat.ph), ila kudownload files kwenye website yao ni sharti uwe na application ambayo ni uttorent.
 
Mkuu kuna Croaching Tigers Sword of Destiny iko safi sana Donnie Yen na Michelle Yeoh wamefanya vizuri

We jamaa avatar yako imenisumbua sana nilifikiri kuna mdudu kaingia kwenye kompyuta mpakato yangu
 
Mda mwingi nimekua nikiangaika Na kupakua torrent kwenye PC ilikua full kuwaza Mb kumbe technology ilisharahishwa 500mb napakua mov zaid ya moja ubora fresh kwa phone yangu
Kivip bro tumegeane maujuzi
 
Ipo poa sana Mkuu. Kama uliiona ile ya kwanza yake Olympius Has Fallen hii utaifaidi zaidi kwa kuwa utakuwa tayari unaelewa mambo mengi sana.
Olympus has fallen ya Gerald Burtler,London has fallen ya huyohuyo pia burtler na white house down ya Jamie Fox,zinafanana plots settings,hapa wamechemsha kama bongo movies
 
Mda mwingi nimekua nikiangaika Na kupakua torrent kwenye PC ilikua full kuwaza Mb kumbe technology ilisharahishwa 500mb napakua mov zaid ya moja ubora fresh kwa phone yangu

Realy!
Naomba unielekeze tafadhali.
 
Tunaelekea March wandugu, wale wenzangu wafuatiliaji wa Movie, kwa mwaka huu 2016 ni Movie gani umeielewa zaidi so far?
Kuna x-men :apocalypse ,limuvi la hovyo nalo, fictions za kikuda kibao.
Ila kuna hii documentary / sport ya Jesse Owen ,the race, ipo njema
 
Naomba kujua movie ambazo sio za fiction, but ziwe za mission za 2016.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom