PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kwa Jimbo la Dar es salaam pekee mwaka 2025 kanisa limeingiza bil 5 kwa ajili ya mavuno.
Manake ni Nini?
Manake jumuiya ndogondogo zimejichanga na kufilosha kiasi hicho kinachotoka mara moja kwa mwaka!
Tafsiri yake ni Nini?
Ukichukua michango ya waumini wote misikitini nchi nzima haifikii robo ya michango hii ya jumuiya za Dar es salaam peke yake!
Hapo hujaongelea sadaka za misa katikati ya wiki na jumapili pamoja na sadaka za maendeleo!
Bajeti ya Jimbo Kuu la Dar es salaam pekee ni zaidi ya trillion tatu bila misaada kutoka nje!
Hawa watu hawaitegemei serikali kujiendesha bali serikali inawategemea wao!
Mimi ningependa hii MoU ivunjwe tuone panapovuja
 
Hilo lazima lifanyiwe kazi hasa katika kipindi hiki ambacho hatutarajii mikopo kutoka nje, hizo hospital zao zijiendeshe zenyewe hayo makubaliano yanayotekelezwa kwa sasa ni wizi wa pesa za umma.
Serikali ya chama gani ilipitisha hayo makubaliano?
BAKWATA nao wadai haki
 
katolik waliibaj kwa mfano ?
 
Kama wao wameweza kuishawishi serikali, sisi waislamu tumeshindwa nini?

Hebu tuache haya malalamiko aisee! tufanye mambo ya msingi ambayo yataonekana ni msaada kwa jamii kisha na sisi tuishawishi serikali tuone kama tutakwama.

Waislam tuache malalamiko na tuache unafiki.
 
Una ota mkuu, tenganisha emotional zako za Imani na ukweli, hiyo TEC kama inafungiwa asubuhi tena na kibaraka wa CCM ambae ni dini ya RC. usichezee state mkuu.
Ukiachana na hayo mambo ya TEC
Unaamini state haiwezi kushindwa? Kipi kilifanya state kushindwa na kuanguka state za misri, Tunisia, Mali,Nepal, Madagascar na nchi zingine duniani?
 
Hili ndio swali nimetoka kuuliza. Kwa nini wasiende kwa raisi sasa waombe hayo yote? Wamshawishi awapatie, TEC hawana uwezo wa kumzuia raisi yoyote kutaka kufanya jambo alilopanga
 
Hii dhana ndio huwatesa wengi, raisi akiwa muislamu hakuna faida yoyote kwa muislamu, wanaofaidi ni wale walio kwenye cycle yake tu tena unakuta wengi ni wagalatia

Hata raisi akiwa mkristo hakuna faida yoyote kwa mkristo, wanaofaidi ni walio kwenye cycle zao tu. Magufuli alikua raisi, je mkristo aliyepo tunduru alifaidika na nini?
Samia sasa hivi ni raisi, muislamu aliyepo muleba anafaidika na kitu gani?

Masheikh sijui hili hawalielewi. Wanaofaidi ni walio kwenye cyle tu
 
Wewe itakuwa sio mwislamu, mwislamu anayejielewa hawezi kuongea pumba kama uliongea wewe.

Kwani MoU ni Wakristo walioishawishi serikali au ni Nyerere alikabidhisha serikali kwa kanisa, licha 1992 ulikuwa ni utawala wa Mwinyi ila Rais wa kwanza alikuwa na nguvu ya kuweza kufanya hivyo.

Waislamu walililamikia jambo hili na wao wapate mgao katika kuendeshea shughuli zao za kijamii mbona hawakupewa.

Na sio hivyo haki nyingi waislamu wamezipambania zinazowahusu wao kama mahamaka ya kadhi, kujiunga na OIC n.k Cha kuudhi zaidi hao hao TEC na gwajima ndio wametia kidodomo tusipate haki hiyo.

Utasema nini hapa?
Hii ni nchi yetu sote sio ya kwao Pekee yao.

Waislamu walivyokuwa wakipambania uhuru wa nchi hii wao walikuwa wamewakumbatia mabwana zao wakoloni alafu nchi imepatikana waislamu wakamuweka mbele Nyerere alafu akawageuka na wengine akawatia ndani.

Wenye uchungu na nchi hii ni waislamu .

Harakati zote za kupigania haki ya kweli ni Waislamu kuanzia vita vya maji maji waliopigania uhuru wao chini ya mkoloni wa kijerumani ni waislamu na uhuru wa 1961 ni waislamu kwa asilimia 98%

Mleta mada ameleta topic ya maana kabisa.
 
Swali lake, kwa nn msipambane na serikali muishawishi mpate hizo haki zenu? TEC wanazuia vipi Samia kuwapa hizo haki?
 
Mtu anakwambia DP WORLD wanapingwa kwasababu ni Waarabu, Waislamu.

Mtu huyo unaona ni TIMAMU????

DP WORLD wamekuja kuchuma pesa za wajinga, yeye anaona sawa utafikiri ananufaika na chochote kama Muislam.
 
Mtu anakwambia DP WORLD wanapingwa kwasababu ni Waarabu, Waislamu.

Mtu huyo unaona ni TIMAMU.

DP WORLD wamekuja kuchuma pesa za wajinga, yeye anaona sawa utafikiri ananufaika na chochote.
Hawa watu ubongo wao una shida, wanasema mbona wazungu hawasemwi sijui wazungu gani hawasemwi ikiwa kila siku watu wanalia na mikataba ya madini na gesi, wakati wa magu kukawa hadi na msemo wa mabeberu
 
Swali lake, kwa nn msipambane na serikali muishawishi mpate hizo haki zenu? TEC wanazuia vipi Samia kuwapa hizo haki?
Kama kuipambania tuanze sasa hivi, kuna viashiria vya kuonesha TEC sasa nguvu zao juu ya kuielekeza serikali nini Cha kufanya ni kama vile nguvu zao zimepungua na hili linajidhihirisha juu ya sakata la bandari ya Dare salaam na kwa hotuba ya Rais ya jana.

Na ndio maana swala la kudai haki ni mchakato Wala sio kudai kwa kuvunja amani.

Naiona bishara iliyonjema kwa taifa letu baada ya kuwadhibiti hawa mashetani wa TEC.

Nyinyi TEC sio raia daraja la kwanza hii ni nchi yetu sote.
 

serikali fake itaondoka TEC itakuwepo ina nguvu kuliko hii serikali fake na bunge fake
 

DP WORLD wanasaidia nini WAISLUM?

Wenye AKILI walipinga DP WORLD kutokana na MKATABA wao, sasa nyie mnafurahia DP WORLD kwasababu ni WAARABU?

Sbyoe ni kitu MUHIMU sana.
Na ndio maana swala la kudai haki ni mchakato Wala sio kudai kwa kuvunja amani.

Naiona bishara iliyonjema kwa taifa letu baada ya kuwadhibiti hawa mashetani wa TEC.

Nyinyi TEC sio raia daraja la kwanza hii ni nchi yetu sote.
Kwahiyo suala la KUACHA ,UTEKAJI, MAUAJI, ni mchakato wa Muda gani???

Samia kakosana na WANANCHI, na KAANZA KUHUBIRI UDINI.

Kajibanza JESHINI, akae akijua hata SISI WANAJESHI TUNA DINI ZETU.

Sisemi sana.
 
Hili ndio swali nimetoka kuuliza. Kwa nini wasiende kwa raisi sasa waombe hayo yote? Wamshawishi awapatie, TEC hawana uwezo wa kumzuia raisi yoyote kutaka kufanya jambo alilopanga
Bakwata huwa inatufelisha sana!

Imepewa mamlaka makubwa sana na serikali kuhusu mambo ya waislamu kwa ujumla ndani ya hii nchi.

Na Bakwata ni zana inayotumiwa na serikali dhidi ya waislamu. Kama Mufti analindwa, analipwa mshahara na huduma zote muhimu anapatiwa na seerikali unategemea nini? Usafiri wa
Umesoma dini?

Unafahamu maudhui au uzito wa kumtoa muislamu mwenzako kwenyw uislamu?
 
Kuhusu haya mengine Missile of the Nation ameshayajibu/kuyaelezea.
 
Bakwata huwa inatufelisha sana!

Imepewa mamlaka makubwa sana na serikali kuhusu mambo ya waislamu kwa ujumla ndani ya hii nchi.
Ukitoa Kutangaza SIKYKUU, ni mamlaka gani mengine ya LAZIMA kutika BAKWATA lazima myafuate?
Na Bakwata ni zana inayotumiwa na serikali dhidi ya waislamu. Kama Mufti analindwa, analipwa mshahara na huduma zote muhimu anapatiwa na seerikali unategemea nini? Usafiri wa

Kwanini wakipuyanga huwa mnakubaliana nao??
Umesoma dini?

Unafahamu maudhui au uzito wa kumtoa muislamu mwenzako kwenyw uislamu?
 
Unamaanisha TEC walikua na nguvu kuliko serikali ya kikwete?

Mm sio TEC, alafu hii kusema sio daraja la kwanza au la pili ni hofu tu mliyo nayo hasa watu wanaojihisi unyonge. Unafikiri GSM au bakhressa anaweza kutoa hiyo kauli?
 
H
Chuki zisitufanye tukosoe kila kitu hadi kizuri. Tofauti na Zanzibar kuna hospital gani inatoa tiba bure hata kama serikali inamkono wake? Hizo za serikali unakufa kwenye benchi kama Huna hela ndio iwe bugando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…