NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Hii no fap challenge inahusu kujizuia kuzitoa shahawa kwa kufanya vitendo kwa mwili ama kutumia akili kuwaza, vitendo vinaweza kuwa kama sex au kujichua na akili ni pale unajenga mawazo ya kingono mwishowe unapizi,
Shahawa ndipo nguvu za mwanaume zilipo kiroho, kiakili na kimwili, ukiona huwezi kuji controll kujizuia kutoa mbegu kisa tamaa za mwili basi jijue wewe ni mwanaume dhaifu ambae huna full controll ya mwili wako. shahawa zinapotoka kuna chembechembe za virutubisho, roho, dna, na vingine hutoka, haba na haba hujaza kibaba hizi shahawa unavyozidi kuzitoa ndivyo utavyozidi kuwa dhaifu.
wanaume waliofanya hii ili kupata controll nzima ya miili, roho na akili zao kwa kuzuia mbegu zisitoke ovyo ovyo ni kama kina Elon Musk, Nicola Tesla, Steve Jobs, Muhamad Ali, Yesu / Issa wapo kundi hili, .
Mwanaume anaeishikilia mbegu bila kuitoa kuna vitu vya ziada huwa anavipata kama;
Kwenye hii kitu ni kwamba zile siku 12 za mwanzo ni sawa na jehanamu, Hizi ni siku ambazo ile sumu ya uraibu ndipo inapotoka mwilini, Sumu hii huambatana na nyege mshindo pengine ambazo hujawahi kuzipata maishani mwako, ni vita yako wewe na sumu hio, sumu haikubali kutoka kirahisi rahisi lazima ikuumize ili utamani kumwaga shahawa nayo iendelee kubaki, ukiweza kuzimaliza hizi siku hesabia upo huru umeuchukua upya mwili wako na unaweza kuufanyia maamuzi bila tamaa za mwili kukubabaisha.
Binafsi leo ni siku ya 8, nimejikuta mtu ambae jogoo anawika hata nikiwa nafanya kazi. Ninafanya mazoezi na kchangamana na watu lakini kuna muda lazima mawazo ya ku do lazima yaje tu.
Asubuhi nikiamka mnara umekakamaa kama vile nipo form 2 wakati balehe imeshika kasi, juzi niliota ndoto nyevu (wet dream) na asubuhi nakuta boxer imechafuka, japo hii haikuhesabika kutoa shahawa kwa maksudi.
Joto linaloniwakia siyo la nchi hii aisee, kuna huyu binti sura ya baba lakini ana shepu huwa anauza duka flani ananielewa ila sijawai kumwelewa. Jana nilienda dukani kwake wateja hakuna, shape yake ilinichanganya, nimefika pale kaanza kunichekea kama kawaida nikajikuta jogoo kapanda mtungi.
Niliingia sehemu anapouzia na alikuwa kasimama, nilienda nyuma yake nikampa kumbatio la nyuma nikampampu vitatu vya nguvu vya nguo. Kiukweli akili ilikuwa imeniruka nilkuwa kama gegedu, mteja alikuwa anakaribia kuingia nikaenda kukaa kwenye kiti maana suruali ilikuwa imejaa. Nilipotulia nikaondoka hata sikutaka kuaga, sijapita hapo tena na hana namba yangu.
Natamani hata ninunue mpira niende bar kumchukua baa medi nipunguze kiwanda. Kuna siku zilinipanda hadi nikawa nataka kufufua viporo na ma ex. Yaani huko bafuni nikienda kuoga ni mwendo wa maji yabaridi tu, najua maji yamoto ntamaliza kazi!
Shahawa ndipo nguvu za mwanaume zilipo kiroho, kiakili na kimwili, ukiona huwezi kuji controll kujizuia kutoa mbegu kisa tamaa za mwili basi jijue wewe ni mwanaume dhaifu ambae huna full controll ya mwili wako. shahawa zinapotoka kuna chembechembe za virutubisho, roho, dna, na vingine hutoka, haba na haba hujaza kibaba hizi shahawa unavyozidi kuzitoa ndivyo utavyozidi kuwa dhaifu.
wanaume waliofanya hii ili kupata controll nzima ya miili, roho na akili zao kwa kuzuia mbegu zisitoke ovyo ovyo ni kama kina Elon Musk, Nicola Tesla, Steve Jobs, Muhamad Ali, Yesu / Issa wapo kundi hili, .
Mwanaume anaeishikilia mbegu bila kuitoa kuna vitu vya ziada huwa anavipata kama;
- Kuuondoa ukungu kwenye ubongo na kumfanya aweze kutunza kumbukumbu mda mrefu kama ilivyokuwa utotoni.
- Kuongeza umakini.
- Kuongeza nguvu za kiume
- kuchelewa kufika kileleni.
- kuongeza rotuba na afya kwenye shahawa
- kufyatua shahawa kwa nguvu zaidi
- Kuongezeka kujiamini.
- Kuifanya akili iwaze zaidi kufanikisha malengo ya maisha.
- kuongeza nguvu ya kiroho, n.k.
Kwenye hii kitu ni kwamba zile siku 12 za mwanzo ni sawa na jehanamu, Hizi ni siku ambazo ile sumu ya uraibu ndipo inapotoka mwilini, Sumu hii huambatana na nyege mshindo pengine ambazo hujawahi kuzipata maishani mwako, ni vita yako wewe na sumu hio, sumu haikubali kutoka kirahisi rahisi lazima ikuumize ili utamani kumwaga shahawa nayo iendelee kubaki, ukiweza kuzimaliza hizi siku hesabia upo huru umeuchukua upya mwili wako na unaweza kuufanyia maamuzi bila tamaa za mwili kukubabaisha.
Binafsi leo ni siku ya 8, nimejikuta mtu ambae jogoo anawika hata nikiwa nafanya kazi. Ninafanya mazoezi na kchangamana na watu lakini kuna muda lazima mawazo ya ku do lazima yaje tu.
Asubuhi nikiamka mnara umekakamaa kama vile nipo form 2 wakati balehe imeshika kasi, juzi niliota ndoto nyevu (wet dream) na asubuhi nakuta boxer imechafuka, japo hii haikuhesabika kutoa shahawa kwa maksudi.
Joto linaloniwakia siyo la nchi hii aisee, kuna huyu binti sura ya baba lakini ana shepu huwa anauza duka flani ananielewa ila sijawai kumwelewa. Jana nilienda dukani kwake wateja hakuna, shape yake ilinichanganya, nimefika pale kaanza kunichekea kama kawaida nikajikuta jogoo kapanda mtungi.
Niliingia sehemu anapouzia na alikuwa kasimama, nilienda nyuma yake nikampa kumbatio la nyuma nikampampu vitatu vya nguvu vya nguo. Kiukweli akili ilikuwa imeniruka nilkuwa kama gegedu, mteja alikuwa anakaribia kuingia nikaenda kukaa kwenye kiti maana suruali ilikuwa imejaa. Nilipotulia nikaondoka hata sikutaka kuaga, sijapita hapo tena na hana namba yangu.
Natamani hata ninunue mpira niende bar kumchukua baa medi nipunguze kiwanda. Kuna siku zilinipanda hadi nikawa nataka kufufua viporo na ma ex. Yaani huko bafuni nikienda kuoga ni mwendo wa maji yabaridi tu, najua maji yamoto ntamaliza kazi!