Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi
Nina swali la kutaka kupata ufafanunuzi wa mipaka, tofauti na sifa kati Mother tangue( lugha ya mama) na 1st language ( lugha ya kwanza)
Mfano mitatu tofauti ni mimi ni Mgogo:-
Karibuni tuelimishane
Nina swali la kutaka kupata ufafanunuzi wa mipaka, tofauti na sifa kati Mother tangue( lugha ya mama) na 1st language ( lugha ya kwanza)
Mfano mitatu tofauti ni mimi ni Mgogo:-
- Nimezaliwa dar nikajua kiswahili na kujifunza kigogo.
- N nimezaliwa dodoma nika aqcuire kigogo na kiswahili nikakijua kwa kujifunza
- Nimezaliwa dar nikajua kiswahili baada ya muda nikaenda majuu na sijui kigogo najua kiswahili na kingereza
Karibuni tuelimishane