Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
- Thread starter
- #21
Mbona Tanzania haipo hata top twenty wakati kila siku tunaimbiwa na viongozi wetu kwamba sisi ni kisiwa cha amani.
Njaa inasababisha watu wasiwe na amani hizo nchi unaweza ukalala mlango wazi mtu asije kukuibia.
Tanzania kuna roba, ngeta, kukabwa, uwizi, umasikin etc utasema hiyo amani?