Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Kwanini wasikusanyikie Jangwani?
Mpaka Kova atoe kibali nani anataka hiyo?
Kwanini wasikusanyikie Jangwani?
Du umenikumbusha mbali sana huko Majengo na Msaranga naona ni mtafutano hadi mwaka mpya, ile Pure ya Molasesi wameshaiacha au badoKhaaa yaani hii foleni imehamia hadi kwenye nyama ya kuchoma sasa...niko hapa mkulima wachagga wanagombea nyama balaa
Du umenikumbusha mbali sana huko Majengo na Msaranga naona ni mtafutano hadi mwaka mpya, ile Pure ya Molasesi wameshaiacha au bado
Guest yangu ya Tausi sijui imejaa kule Mafuta street, nitangulie Hiloday kule Himo au Babylon Marangu mnipe uhakika
Kwanini wasikusanyikie Jangwani?
Wachaga noma! yaani kwa sasa Ubungo- Kimara-Mbezi barabara nyeupeee..... kumbe foleni imehamia Moshi!!
jumanne mji wa moshi ulikuwa mweupeeeeee hapakuwa na hata haice za KB au KCMC,lakini jana jumatano na leo hapatoshi watu,magari kibaoooo naona wale walioomba ruhusa ya siku nne ndo wanarud makazini,nadhani mpaka jumamosi watu watakuwa wamepungua kwa saana.maana wale wabibi wa Uru kishumundu na wale wa Old moshi wanashindwa kuvuka kale ka mzunguko ka mnara wa saa ka mzee mengi wa bonite mpaka wanaomba msaada .