Keni parish, rombo.....
Aisee na kwenyewe foleni?
Khaaa yaani hii foleni imehamia hadi kwenye nyama ya kuchoma sasa...niko hapa mkulima wachagga wanagombea nyama balaa
Pitia pale TOROKA UJE BAR kuna chakula safi pia
Khaaa yaani hii foleni imehamia hadi kwenye nyama ya kuchoma sasa...niko hapa mkulima wachagga wanagombea nyama balaa
Wameenda kuhesabiwa.
Vp hapo? ibada imeendeshwa kwa kichaga au kiswahili?
Mkuu nilikuwepo jana nite nagonga vocals mbaya arifu! Daaah.....hebu kuja kwa pm tuwacliana zaida jombaa.....daaah! Tufahamiane bhanaa...hapa ful uchovu wa kuruka kijoti kwaya pale church jana nite!mimi najiandaa na ibada ya mkesha wa x-mass katika kanisa katoliki la mtakatifu katarina wa siena Mkuu- Rombo wewe je?
Jamani wachaga hawaendi kutambika wanaenda kusherehekea pamoja " Tazama ilivyo vyema ndugu kukaa pamoja"
Wako wengi jangwani hawataenea n pale jangwani cio kwao!Kwanini wasikusanyikie Jangwani?