Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Ni upumbavu 🤣🤣🤣🤣
Mbona unawahi kusema kuwa sio Kilimanjaro tu. So unaona hapo dada zenu wamefanya Yao na huku wanaolewa Sana na wanaongoza kuolewa.Mwaka mbaya huu kila mkoa siyo Kilimanjaro Tu. Mengine hata hatuna taarifa nayo. Yaani kujiua, kuawa, ndiyo imeshika Kasi. Laana hii.
Kawaida huko Sana jamaa ni watafutaji Sana. Hasahasa hao wanawake wanajua kupigana kimaisha.Moshi once again...
Na kuna ambao tumekwamia hapo kwenye subiri kidogo kodi yako nakulipa baada ya wiki tatu since wayback 2000Du, kutoka kuamkiwa shikamoo baba mwenye nyumba mpaka kufikia subiri kidogo kodi yako nikulipa baada ya wiki tatu. Psychological effects ni kubwa sana.
Myebusi wala usishangae alipangiwa atakufa hivyo. Wangapi wanakumbana na mishtuko ya hatarii lakini hawajinyongi? Kwasabab hawakupangiwa watakufa hivyo.It's all about kuuwawa, kujinyonga, kuchomwa kisu..huu mwaka umeanza vipi wajameni?
Labda aliruhusu nyumba iuzwe alafu pesa apewe mwanamke akaweke bank au amtumie.Alikosa ushauri, huwezi uza nyumba bila mke au mume kutia sahihi.
Sema ndo keshakufa lakini still hizo mali ni zake kisheria aliyenunua katapeliwa ni lazima ridhaa ya wanandoa iwepo.
Si kuuza tu hata ikiwa ni kuichukulia mkopo lazima maridhiano ya wawili yathibitishwe! Sheri mbona ipo wazi kwa hili? Na kama alifia nyumbani kwake iweje iuzwe na marehemu asiende popote kudai haki yake? Kuna la zaidi hapa.Kama ana hati inauzwa tu
Anaweza kusingizia mumewe yuko Dar mahututi, hivyo anatafuta pesa za kumtibia. Kweli mume yuko Dar Kwa matibabu, Nani hataamini, ikizingatiwa ni mkewe?Mke anauzaje nyumba ya mume wake ama nyumba ya pamoja?
Nyumba sio nyanya iuzwe bila mashahidi wala majirani
Mkaldayo Tz huku huu mwaka vifo vya kuuwawa,kujiuwa vimekuwa vingi sana..Myebusi wala usishangae alipangiwa atakufa hivyo. Wangapi wanakumbana na mishtuko ya hatarii lakini hawajinyongi? Kwasabab hawakupangiwa watakufa hivyo.
Kweli, sasa mwanamke mzee wa miaka 50+ auze mali aende wapi/akafanyie nini!?Hawakuzaa watoto?
Kustaafu n miaka 50+
Nadhan Kuna Jambo hapa
Akili yangu inaniambia huenda baada ya kustaafu alitafuta binti wa kutanua nae
Penz lilipokolea akamuonesha hati
Labda Kama alikuwa mgumba
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Machuijike 😂😂😂😂Moshi tena..naona machui jike toka pande za moshi mnaupiga mwingi.
#MaendeleoHayanaChama
Ngoja tuanze kutubu dhambi zetu...mwisho umefikaIt's all about kuuwawa, kujinyonga, kuchomwa kisu..huu mwaka umeanza vipi wajameni?