Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,253
Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20 (jina tunalihifadhi kwa sasa) ambaye inaaelezwa kuwa ana changamoto ya matatizo ya akili amelawitiwa na Wanaume watano.
Tukio hilo limetokea Katika Wilaya ya Hai katika Kata ya Machame, Narumu Mkoani Kilimanjaro limezua taharuki miongoni mwa watu baada ya kijana huo kushindwa kukaa na kueleza tukio hilo lililomkuta.
Baada ya Uchunguzi na vipimo vya Daktari vimeonyesha ni kweli kuwa kijana huyo kuingiliwa.
Kati ya Watuhumiwa waliotajwa Watatu wamekimbia na wawili wamekamatwa na kati yao wapo Wanaume ambao wapo ndani ya ndoa.
Aidha, inadaiwa kuwa kijana huyo amekuwa kiingiliwa na watu hao mara kwa mara.
Wazazi wa kijana huyo wamedai kutokana na hali halisi ya maisha yao, hawana kipato cha kuweza kumudu gharama za nauli kufuatilia kesi hiyo bali wanamuachia Mungu.
inavyodaiwa watuhumiwa wanataka kuirubuni familia ya kijana aliyetendewa ukatili ili wasifike Mahakamani, wanataka kuwapoza kidogo ili jambo holo liishie chini kwa chini.
Pia soma - Moshi: Vijana watano wanaodaiwa kumlawiti kijana mwenye tatizo la Afya ya Akili waachiwa kinyemela na Polisi
Tukio hilo limetokea Katika Wilaya ya Hai katika Kata ya Machame, Narumu Mkoani Kilimanjaro limezua taharuki miongoni mwa watu baada ya kijana huo kushindwa kukaa na kueleza tukio hilo lililomkuta.
Baada ya Uchunguzi na vipimo vya Daktari vimeonyesha ni kweli kuwa kijana huyo kuingiliwa.
Kati ya Watuhumiwa waliotajwa Watatu wamekimbia na wawili wamekamatwa na kati yao wapo Wanaume ambao wapo ndani ya ndoa.
Aidha, inadaiwa kuwa kijana huyo amekuwa kiingiliwa na watu hao mara kwa mara.
Wazazi wa kijana huyo wamedai kutokana na hali halisi ya maisha yao, hawana kipato cha kuweza kumudu gharama za nauli kufuatilia kesi hiyo bali wanamuachia Mungu.
inavyodaiwa watuhumiwa wanataka kuirubuni familia ya kijana aliyetendewa ukatili ili wasifike Mahakamani, wanataka kuwapoza kidogo ili jambo holo liishie chini kwa chini.
Pia soma - Moshi: Vijana watano wanaodaiwa kumlawiti kijana mwenye tatizo la Afya ya Akili waachiwa kinyemela na Polisi