Nimetoa ela zangu nyingi sana kuijenga secondary ya Nkuu a.k.a Kimbushi..Mulize Mama Swai Atakuambia kijana mimi ni mtu mzito sana nauchungu na Mji huu sio blaa blaa nataka niache kumbukumbu..Narumu wananijua sana Muulize Lelo Kweka..Mallya nimetuma shingapi kujenga shule zao za kata..
Yani mleta mada ni kilazaa sijawahiii onaa... Nyie ndio wale washamba ambao mkitoka kijijini kwenu mkaenda jijini mkirudi mnazarau ata ndugu zenu wa kijijini.. Mnajiona mpo juu.. Kumbe ushamba tuu... Eti ata moshi hamna mall!? Mahitaji ya muhimu yapii ulikuwa unahitaji.!? Mbona supermarket zimejaa mjini moshi..!
Kiti moto a.k.a white meat imechangiaje kuharibu nguvu kazi?
Vipi wewe umekua??Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo.Na huku Machame pia ndo vilevile jamani kunanukia ndizi tu.
Xmass iishe minirudi Nairobi.
Hadithi yako nzuri, inatufundisha nini??
Nimetoa ela zangu nyingi sana kuijenga secondary ya Nkuu a.k.a Kimbushi..Mulize Mama Swai Atakuambia kijana mimi ni mtu mzito sana nauchungu na Mji huu sio blaa blaa nataka niache kumbukumbu..Narumu wananijua sana Muulize Lelo Kweka..Mallya nimetuma shingapi kujenga shule zao za kata..
Nimetoa ela zangu nyingi sana kuijenga secondary ya Nkuu a.k.a Kimbushi..Mulize Mama Swai Atakuambia kijana mimi ni mtu mzito sana nauchungu na Mji huu sio blaa blaa nataka niache kumbukumbu..Narumu wananijua sana Muulize Lelo Kweka..Mallya nimetuma shingapi kujenga shule zao za kata..
Hivi yule mbunge aliekaa miaka 24 hapo moshi yuko wapi ?
Sisi tunakuja Chrismass Machame tuambie makutano wapi? tunataka kujua kama unayoyasema na ulivyo vinaendana!!! lakini pia tunataka tukutoe OUT!!! kama hujawahi panda vogue you will experience the difference na Altezza utaacha home kwa bibi kwanza.
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana
Hivi yule mbunge aliekaa miaka 24 hapo moshi yuko wapi ?
Nimetoa ela zangu nyingi sana kuijenga secondary ya Nkuu a.k.a Kimbushi..Mulize Mama Swai Atakuambia kijana mimi ni mtu mzito sana nauchungu na Mji huu sio blaa blaa nataka niache kumbukumbu..Narumu wananijua sana Muulize Lelo Kweka..Mallya nimetuma shingapi kujenga shule zao za kata..
Sisi tunakuja Chrismass Machame tuambie makutano wapi? tunataka kujua kama unayoyasema na ulivyo vinaendana!!! lakini pia tunataka tukutoe OUT!!! kama hujawahi panda vogue you will experience the difference na Altezza utaacha home kwa bibi kwanza.
Mji wa Moshi hauwezi kuendelea.ashukuriwe kikwete kujenga hilo jengo hifadhi ya jamii angalau kamji kanaonekana sasa. Kazi yenu kunywa mbege tu. Mkuu machame sehemu gani unaishi?
Ili swala naliona umu wengi wenu Hamjawekeza Moshi ngoja nisubiri nije nionane na jirani yangu Dr.Mengi tujadili Moshi tunaibadilishaje kuna wakenya wengi wanatamani kuwekeza Moshi ndo sababu kuu ya kuanzisha hii mada..