Moshi ipo kama nilivyoiacha

Moshi ipo kama nilivyoiacha

1819s

Senior Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
147
Reaction score
10
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo.Na huku Machame pia ndo vilevile jamani kunanukia ndizi tu.

Xmass iishe minirudi Nairobi.
 
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo..Nauku Machame pia ndo vilevile jamani .kunanukia ndizi tu.xmass iishe minirudi Nairobi

umekuja kushtaki JF hahaha
 
Mkuu kama ni mkazi wa moshi nieleweshe nini tatizo tuangalia tunatatuaje izi changamoto ili mji huu uweze kukua..

maendeleo gani unaongelea au kuyataka?
 
Kama Tanzania yenyewe haikui kila siku ni nchi changa, unashangaaje Moshi?
 
Yani ulitaka ukija moshi usikute migomba badala yake yawe maghorofa hadi huko machame? Badala ya kuoengeza kwamba watu wa moshi wameendelea kuutunza mji wao na mandhari safi wewe unaona hilo ni tatizo, dah kweli maghorofa ya nai yamekuvutia sana.
Pita Nkwamasi,shuka pale Nkwarungo chini kidogo ya hosteli za wanachuo wa chuo cha nkwarungo hosp angalia namna kunavyopendeza,tembea juu kidogo ya lambo, fika hadi Nronga kote huko mandhari safiiiiiii halafu ufananishe na purukshani za huko kwa Kenyata.
Hata hivyo karibu sana moshi
 
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana
 
Yani ulitaka ukija moshi usikute migomba badala yake yawe maghorofa hadi huko machame? Badala ya kuoengeza kwamba watu wa moshi wameendelea kuutunza mji wao na mandhari safi wewe unaona hilo ni tatizo, dah kweli maghorofa ya nai yamekuvutia sana.
Pita Nkwamasi,shuka pale Nkwarungo chini kidogo ya hosteli za wanachuo wa chuo cha nkwarungo hosp angalia namna kunavyopendeza,tembea juu kidogo ya lambo, fika hadi Nronga kote huko mandhari safiiiiiii halafu ufananishe na purukshani za huko kwa Kenyata.
Hata hivyo karibu sana moshi

Barabara mbovu sana Apa makoa kupitia nkuu Altezza yangu imebidi nipaki mjini tu mawe mashimo yakufikia
 
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo..Nauku Machame pia ndo vilevile jamani .kunanukia ndizi tu.xmass iishe minirudi Nairobi

Mbona mji umepanuka mpaka msitu wa tembo?
 
Huu Mji haukui kabisa yani vilevile nilivyo Ondoka Miaka Mitano iliyopita inauma sana sijui nani kikwazo..Nauku Machame pia ndo vilevile jamani .kunanukia ndizi tu.xmass iishe minirudi Nairobi

Unataka uonekane nawe wa moshi ehh?ila pataendeleaje wakati wazawa mnaonekana kwa msimu hasa sikukuu kama hizi tena mnaenda kwajili ya matambiko,hamuwekezi nyumbani,fursa kibao zipo kilimanjaro,unabaki kulialia hapa jf, sijuwi ili uwonekane nawe wa moshi umerudi nyumbani huu ni ujinga.maendeleo ya sehemu yanaanzia kwako binafsi.
 
Back
Top Bottom