Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Umebakiza akili ya kuvukia barabara tu,shwain!Basi tulia hivyo hivyo na ususumbue watu!
Umebakiza akili ya kuvukia barabara tu,shwain!Basi tulia hivyo hivyo na ususumbue watu!
Kwani Una korona?Umebakiza akili ya kuvukia barabara tu,shwain!
Kwahiyo unaamini kabisa hakuna mtu aliyekufa kwa Corona tokea tutangaziwe Corona imeisha?Hayo masuala ya huko hospitalini mkuu ngoja na mie kwamba pale muhimbili kuna kipindi ilikuwa walinzi hawaruhusu mtu kuingia pale getini bila barakoa ila sasa unapita tu uvae au usivae,na kule ndani kuna baadhi ya sehemu ikuwa hauingii bila barakoa ila sasa unaingia bila barakoa. Je hiyo ina maana gani kwako?
Ndio maana nakwambia humu kila mtu anaongea lake,wewe unasema hawapimi corona huko hospitali kwamba mtu akifa na kushindwa kujua sababu ya kifo wanasema ni matatizo ya kupumua ila wengine wanasema huko hospitali corona wanapima wagonjwa.
Hofu ni tatizo kweli,kuna watu walikimbia dar na familia zao wakaenda mikoani kisa kuogopa corona. Nina rafiki yangu alikuwa hataki kurudi Dar kwa kuogopa corona et hospitali zimejaa wagonjwa wa corona. Kuna kipindi hadi huko hospitali unaweza kukosa kuhudumiwa wauguzi walikuwa wanaogopa waoga,huko karantini watu wananyanyapaliwa.Eti uwoga ni ugonjwa mkubwa kuliko ugonjwa wenyewe, hata takwimu toeni tu, mbona matangazo ya HIV yalikuwa yanasisitizwa kuwafanya watu wahabarike na wachukue hatua leo matangazo ni ugonjwa, ni kwatia watu hofu, inatakiwa tufikiri upya, hasira ni kali ukihisi mpedwa wako kaondoka kwa sababu ya Covid-19 na mtu anatangaza kuwa hatuna tatizo hilo, duniani Nchi usifiwa kwa mambo yake mazuri lakini hadi sasa sijaona sifa nzuri tuliopata kwa kuficha takwimu, kuacha kuvaa masks, wala kutochokua juhudi za kupata kinga, ni hatari siasa kuchanganya na utaalam, au kutafuta sifa baadhi wakiangamia, binadamu wote ukosea ila uharibu unapochanganya na kiburi, dharau, kujiona!
Kinacho kufanya kuwa na uhakika kuwa tuliishi salama zaidi ni takwimu tu za kweli, sio maneno ya jukwaani huku watu wanaangamia, kama hauna takwimu hauwezi jigamba dhidi ya wenzako tena wenye takwimu!Na hata hivyo, bila kupepesa macho, ni lazima tuseme Asante Mungu, maana kipindi kile cha wimbi la maambukizi ya awali, Tumekuwa salama Sana nchini tofauti na wenzetu, na hata sasa, Ishini Kwa Imani hiyohiyo inawezekana tena Mungu kutuvusha, ondoeni hofu huku tukichukua tahadhari zote za kujikinga maana serikali haijazuia watu kuchukua hatua za kujikinga na korona
Naomba nisipoteze muda wangu!Kwani Una korona?
Korona ni hatari kuliko matusi unayojaribu kunitukana mkuu, kama unaamini huko uliko iko, udikawie, chukua hatuaNaomba nisipoteze muda wangu!
Mie nina mtazamo wangu tofauti,sipo kwenye kundi la watu wanaoamini corona imeisha Tz wala wale wanaoamini ipo na inauwa sana watu,kwa upande wangu naona kuna vitu havijaeleweka kwenye hili janga la corona hata kipindi kile serikali inatoa takwimu bado nilikuwa naona kuna vitu haviko sawa.Kwahiyo unaamini kabisa hakuna mtu aliyekufa kwa Corona tokea tutangaziwe Corona imeisha?
Unadhani wizara kweli haina Takwimu za wanaopimwa?
Nimemalizana na wewe,asubuhi njema!Korona ni hatari kuliko matusi unayojaribu kunitukana mkuu, kama unaamini huko uliko iko, udikawie, chukua hatua
Nifafanulie hapo unaposema tatizo ni uhalisia wa huu ugonjwa!Mie nina mtazamo wangu tofauti,sipo kwenye kundi la watu wanaoamini corona imeisha Tz wala wale wanaoamini ipo na inauwa sana watu,kwa upande wangu naona kuna vitu havijaeleweka kwenye hili janga la corona hata kipindi kile serikali inatoa takwimu bado nilikuwa naona kuna vitu haviko sawa.
Watu hawatafakari zaidi kwanini kipindi ambacho ilikuwa inaonekana corona inazidi ndio kipindi akaanza kuacha kutoa takwimu na kuacha kupima na hadi mwishoni akafikia kuthubutu kabisa kusema corona imeisha.
Kwahiyo kama corona ilikuwepo toka mwanzo siwezi kusema haipo wakati hakuna kilichofanyaki kuiondoa,tatizo ni uhalisia wa huu ugonjwa wenyewe na ndio sababu ya kubishana hapa kuwa upo mara haupo.
Hayo mataifa ya Ulaya, Asia na Marekani wanavyoichukulia Corona ni sawa kwa maana husumbuliwa sana na magonjwa ya aina hiyo kama influenza, inawezekana ni biolojia ya miili yao na hali ya hewa.Mkuu jinsi watu wanavyoichukulia corona unadhani ni sawa uhalisia wa corona yenyewe?
Dunia nzima inazungumzia corona na kusema ni ugonjwa na mambo mengi yamevurugika kwa sababu ya corona,lakini wakati huo huo tunaambiwa wanaopata huu ugonjwa na kupona ni wengi kuliko wanaokufa kwa maana vifo vya corona ni vichache tofauti na ugonjwa kama Ebola. Na pengine ndio sababu insyofanya watanzania kuamini hakuna corona Tz kwa sababu laiti corona ingekuwa inapukutisha watu basi kusingekuwa na huku kuamini kwamba hakuna corona.
Je, unafikiri kwanini sasa corona imekuwa ikionekana ni ugonjwa hatari sana?
Mkiambiwa Kuna corona mkae Lock down mtakaa?.
Ukiondoa Ujinga naotaka kukupanda! Kwako wewe unataka nini juu ya Corona?
Kwamba uwekwe lockdown au uje unawishwe mikono na kuvalishwa barakoa siyo?
Kama wanaugua tu na awafi basi hakuna aja ya kufunga kwani tumeambiwa tutaishi na kama tunavyoishi na Mafua na ukimwiPlease reply in English..
........ ngoja tuone.
Lockdown ni moja ya hatua dhidi ya Corona, na kuwepo kwa corona ni jambo jingine.
Umewaona waliokufa au na wewe unamaabara yako,, chanjo zingine mnazikubali ila zingine mnakataa,,, hamna chochote mnachoweza nyinyi zaidi ya kumwomba Mungu tu,, geographical yetu ya mazingira machafu inatubeba, manakula chakula kinyesi kipo karibu,, mimoshi tunayovuta tutafikiri wote tunavuta sigara,,Serikali isiigie kwenye mtego wa kuchukua chanjo ya korona, bado ipo kwenye majaribio maana ni teknolojia mpya ya uzalishaji wa chanjo inayohusisha kuingiza vinasaba vinavyotokana na virus kwenye vinasaba vilivyo ndani ya seli hai za binadamu. Imeshaleta madhara ya allergy na vifo kwa baadhi ya watu waliochanjwa.
si ndicho mnachokitaka.
Maana wenzenu wanaoishi maisha ya kukaa ndani mnaona wanafaidi mnataka na nyie mjionee.
Mmeambiwa Corona hamnaa
Lakini mnazidi kuyatafuta na mtayapata muda si mrefu