Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

HII SHULE IFUNGWE KWA MUDA NA VIONGOZI WAKE WAKAMATWE NA KUHOJIWA KWA KUKIUKA TARATIBU ZA KUTANGAZA MAGONJWA NCHINI KWETU. HAO BBC NAONIKIWEZEKANA WAFUKUZWE WASITANGAZE HABARI ZETU. JEMEDEARI WETU RAIS JPM AMETUVUSHA KWENYE HILI SUALA LA CORONA NA HAKUNA HAJA YA KUANZA KUTISHANA. TANZANIA HAKUNA CORONA MUAMINI RAIS WENU
 
Huna unaloongea zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani. Kukaa lockdown ni maamuzi, na kutangaza kuwa ugonjwa upo ni jambo jingine. Hata sasa ugonjwa upo lakini tunaendelea na shughuli zetu huku kukiwa na tahadhari kidogo sana. Unamtishia nani kwamba tunachokitafuta tutakipata? Nahisi umeishiwa na hoja ndio maana unaokoteza vitisho vya kipuuzi.
KWA MFANO TUKIKUKAMATA TUKAKUBINYA NA TUKAKUHOJI UTUONYESHE USHAHIDI WA UWEPO WA UGONJWA UTAWEZA ?
 
...student is displaying symptoms that may indicate Covid-19 although this has not yet been tested....."
kumbe tunahangaika an nini? Watoto wana mafua tu. Kwa mara nyingine ada za wazazi zinapigwa, wajinga ndio waliwao, Tanzania hakuna corona!
 
Sihitaji kutumia google kwa vitu ambavyo navifahamu kwa nadharia na kwa vitendo pia na nipo field kwa zaidi ya muongo mmoja sasa..wewe baki huko usikilize hekaya za watawala wanaosema wanahujumiwa kwa chanjo wakati walipokea misururu ya chanjo za mzungu angali wadogo na ufuatliwe ilihali huna tishio lolote kwa mzungu ! hebu pambaneni kwanza kujenga madarasa watoto wasikae chini then ndio mje huku tujadili hizi complex issues
Mkuu sihitaji kubishana, nenda uka google side effects za hiyo mRNA vaccine na pia vifo 23 vilivyotokea Norway ambavyo vilitokana na madhara ya hiyo chanjo. Wewe kama hujahisi madhara yoyote hakuondoi uwezekano wa side effects..
 
Nataka kuwepo na taarifa ya ugonjwa huo ili watu wajikinge zaidi. Kunawa na kuvaa barakoa ni hatua t dhidi ya huo ugonjwa.
Kuhusu watu kujikinga zaidi hilo sidhani kwa sababu toka kipindi kile serikali inatangaza kuwepo corona na kuhimiza watu kuchukua tahadhari bado watu hawakuwa serious na kujikinga,na ndio maana hata walipokuja kuambiwa hakuna tena corona ilikuwa rahisi kwao kukubali. Maana kama watu walikuwa wanaweza kupanda daladala na kukaa chini ili wasionwe na traffic kipindi kile cha level seat bila kujali kuambukizana corona sasa unadhani watu hao walipokuja kutangaziwa hakuna corona si waliona ni bora ili mambo yarudi kama kawaida.
 
Wakishatangaza ugonjwa upo.NINI KINAFATIA?
msipende kuleta taharuki ambazo HAZIPO.
Kama taratibu za kiafya kila siku mnaambiwa.vaeni barakoa,naweni maji ,tumieni sanitizer .
Sasa unataka ufanyiwe nini?
Ugonjwa upo ndio au unataka Hadi serikali itangaze ndo ujue upo?
Huna unaloongea zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani. Kukaa lockdown ni maamuzi, na kutangaza kuwa ugonjwa upo ni jambo jingine. Hata sasa ugonjwa upo lakini tunaendelea na shughuli zetu huku kukiwa na tahadhari kidogo sana. Unamtishia nani kwamba tunachokitafuta tutakipata? Nahisi umeishiwa na hoja ndio maana unaokoteza vitisho vya kipuuzi.
 
Ww dogo utakuwa ni bonge la dunya, unadhani ukinitishia kunibinya ndio kunaondoa ukweli wa hali halisi?
UWE NA HESHIMA KIBARAKA WEWE ENDELEA KUPIGA KELELE TU ILA DAWA YENU VIBARAKA WOTE IPO JIKONI NA IMESHAKWIVA TUTAWAKAMATA NA TUKIANZA KUWASHUGHULIKIA MSIANZE KULIALIA KAMA HATUJAWAONYA. MBINYO UKIANZA UTAWATAFUTA HAO VIRUSI KWA TOCHI NA OLE WAKO WASIONEKANE. UNAFIKIRI HAOO NYUMA YA HIYO INTANETI NDIO UMEJIFICHA NA UNAWEZA KUSAMBAZA UONGO ?TANZANIA NI NCHI SALAMA NA HAKUNA CORONA WALA HAKUNA MTU ANAYEVAA BARAKOA NA HATA WATALII WANALIJUA HILO NYIE WACHACHE MMEISHIWA HOJA MNAANZA KULETA HABARI ZA UONGO TU ILI MLETE TAHALUKI.
 
Umewaona waliokufa au na wewe unamaabara yako,, chanjo zingine mnazikubali ila zingine mnakataa,,, hamna chochote mnachoweza nyinyi zaidi ya kumwomba Mungu tu,, geographical yetu ya mazingira machafu inatubeba, manakula chakula kinyesi kipo karibu,, mimoshi tunayovuta tutafikiri wote tunavuta sigara,,
Sasa hapa kuna hoja gani uliyotoa zaidi ya kuhara..
 
Sihitaji kutumia google kwa vitu ambavyo navifahamu kwa nadharia na kwa vitendo pia na nipo field kwa zaidi ya muongo mmoja sasa..wewe baki huko usikilize hekaya za watawala wanaosema wanahujumiwa kwa chanjo wakati walipokea misururu ya chanjo za mzungu angali wadogo na ufuatliwe ilihali huna tishio lolote kwa mzungu ! hebu pambaneni kwanza kujenga madarasa watoto wasikae chini then ndio mje huku tujadili hizi complex issues
Hakuondoi ukweli kwamba hiyo ni experimental vaccine na imetolewa kutumika katika mazingira ya dharura. Ni teknolojia mpya ambayo bado ipo kwenye utafiti na side effects ambazo ziko wazi kabisa ni hypersensitivity, autoimmunity, genetic modification ya binadamu na sasa vifo vimeshaanza kuwa dhahiri, haya endelea kukaa huko field..
 
Nifafanulie hapo unaposema tatizo ni uhalisia wa huu ugonjwa!
Yeah kama jinsi ambavyo tunahofu kubwa na corona kuliko hata hiyo corona yenyewe ilivyo,laiti corona ingekuwa ni hatari sawa na jinsi tunavyoichukulia basi hata tusingekuwa tunabisha sasa hivi kuwa ipo au haipo.

Kipindi kile serikali inatoa takwimu hali ilikuwa inaonekana mbaya kutokana na ile hali ya kutangaza kwamba leo wamekufa watu kadhaa mara maambukizi yanaongezeka,ila huku mitaani kiuhalisia hali haikuwa tofauti na sasa.
 
huu ugonjwa sio wa kubishania sana kama upo au haupo. mtu binafsi ukimkamata ndo ataelewa kama upo au haupo. tuendelee kuchukua tahadhari na Mungu azidi kutulinda.
 
Kinjeketile maji
Kinjeketile maji
Kinjekile maji

Imba wewe acha kuangalia wenzio wanaoanguka.... songa mbele imbaaaa
Kinjeketileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee majiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hiki ndio kinachowapa tabu mabeberu kuona kwamba wanakosa wateja wa chanjo, watulie tuu kila mtu ashinde mechi zake.
Ee Mungu tuepushe na aina hii ya uchizi na machizi kama haya kuja kuwa part ya co workers,mashemeji,au wakwe🙏
 
UWE NA HESHIMA KIBARAKA WEWE ENDELEA KUPIGA KELELE TU ILA DAWA YENU VIBARAKA WOTE IPO JIKONI NA IMESHAKWIVA TUTAWAKAMATA NA TUKIANZA KUWASHUGHULIKIA MSIANZE KULIALIA KAMA HATUJAWAONYA. MBINYO UKIANZA UTAWATAFUTA HAO VIRUSI KWA TOCHI NA OLE WAKO WASIONEKANE. UNAFIKIRI HAOO NYUMA YA HIYO INTANETI NDIO UMEJIFICHA NA UNAWEZA KUSAMBAZA UONGO ?TANZANIA NI NCHI SALAMA NA HAKUNA CORONA WALA HAKUNA MTU ANAYEVAA BARAKOA NA HATA WATALII WANALIJUA HILO NYIE WACHACHE MMEISHIWA HOJA MNAANZA KULETA HABARI ZA UONGO TU ILI MLETE TAHALUKI.
Kamtishe mamaako huko kijijini ngiri mkubwa ww.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom