livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,925
- 5,528
Yani kakamatwa kwa kosa la kumlaumu Mungu.
Kakamatwa kwa kosa la Kusema acha yeye Avute Bangi zake, Saasa bangi na Polisi “ Tooooba! “
Yani kakamatwa kwa kosa la kumlaumu Mungu.
Hii kesi nashauri wai-forward kwa Askofu, Mchungaji, au kwa Baba ParokoMsanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli.
Hivi karibuni Afande Sele alisikika akimlaumu Mungu kuruhusu Magufuli afe.
Mkuu wa Polisi Morogoro kasema kesho ataongea kinagaubaka sababu za kumkamata na kumlaza Korokoroni.
Zaidi soma: Afande Sele (Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu
View attachment 1732037
Kwani alikashifu dini ya nani au dhehebu gani?Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Ndio maana ukiingia kuswali msikitini, na kusali makanisani kuna muda upo, unaomba, kuongea, kutukanana wewe na Mungu wako kimya kimya kama una bifu naye unajua mwenyewe. Ukiliweka hadharani ni kashfa kwa wasio na bifu na Miungu yao.Umeisikiliza voice clip ya maneno ya Afande Sele kweli?
Mimi nimeisikiliza mwanzo mwisho. Hajakashfu dini wala imani ya mtu yeyote..
Yeye ana bifu na Mungu wake siyo na mtu au imani au dini ya mtu yeyote...
Ashtakiwe kwa kosa lingine labda la kwa kutumia sheria ya makosa ya kimtandao - Cyber Crime la " kutumia mtandao kurusha kashfa na matusi hadharani" lakini siyo hili la "kumtukana Mungu" maana halina ushahidi na haliwezi kuthibitika mbele ya sheria...
John Bado mtume wa Mungu badala yake wangemuita afande nguchiroHilo jina ni kubwa, tena la Nabii wa Mwenyezi Mungu, Hakustahili kuitwa hilo (Suleiman) badala yake wangemuita John n.k
Angetakiwa aitwe MOHAMMADHilo jina ni kubwa, tena la Nabii wa Mwenyezi Mungu, Hakustahili kuitwa hilo (Suleiman) badala yake wangemuita John n.k
..mahakamani nani atakuwa wakili wa mlalamikaji? 😀😀 Nchi hii jamaniYani kakamatwa kwa kosa la kumlaumu Mungu.
Angetakiwa aitwe MOHAMMAD
Yeye anamlaumu Mungu, ni Mungu atashughulika nae, iweje serikali?
Nashangaaa?
Wangemwacha Mungu mwenyewe amhukumu?
Kakashifu imani ya nani? Mimi nilisikiliza ile clip. Haamini uwepo wa Mungu. Hili ni jambo la mtu binafsi. Alisema ataabudu hata jua. Huwezi kumlazimisha mtu kuamini na polisi wamefanya kosa kubwa sana. Acha Mungu ajitetee mwenyewe. Kwanza hili kwa Mungu siyo issue kubwa kama binadamu mnafiki anavyotaka ionekana. Mbona wapo watu kama kina Paulo walimhujumu Mungu lakini baada wakaja badalika?Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Serikali na dini wapi na wapi?
Mbona huyo afande sele hajataja dini yoyote??
Unafikiri Mungu ana akili mbovu namna hiyo? Wanafiki wakubwa nyie wanadamu. Mtu kama yule sheikh papuchi anabanjua kama hana akili nzuri halafu leo anakuja ''kumwamurisha'' Mungu aue kiumbe chake! Kwani Mungu yeye haoni? Au mnafikiri Mungu ni kama serikali inayoogopa kuhojiwa?Bora ashughulikiwe na serikali
Mungu mwenyewe akimshughulikia hata SEKUNDE NYINGI.
Anakauka.
Unafikiri Mungu ana akili mbovu namna hiyo? Wanafiki wakubwa nyie wanadamu. Mtu kama yule sheikh papuchi anabanjua kama hana akili nzuri halafu leo anakuja ''kumwamurisha'' Mungu aue kiumbe chake! Kwani Mungu yeye haoni? Au mnafikiri Mungu ni kama serikali inayoogopa kuhojiwa?
Hivi unajua duniani kuna mamilioni ya watu ambao hawaamini kuwa kuna Mungu na Mungu hata siku moja hajawahi kuwaadhibu? Kwa nini mnataka kumfundisha Mungu kazi?Mungu nae ana HASIRA.
Akichukia inawezekana tusiamke kesho.
Acha Afundishwe.
Kuwa hii dunia na pumzi si Yetu.
Mtu anatukaniwa BABA yake anachukia sembuse kutukaniwa Mungu?.
Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?
Kwani Afande Sele alikashifu dini gani vile,hebu tukumbushe.Kama haina dini basi iruhusu watu kukashifu imani ya wengine?