Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,828
Chuo mzumbe
Chuo mzumbe
Umemkumbuka nan hasa ?Daaaah!! Nimekumbuka mbali sana.
Namfahamu ndioLekia
Kule Mo Town zamani For Stars nako kupo poa tu,Pale Downtown Pako poa lkn kuna muda panapoza sanaNilijua unakuja na updates mpya ya viwanja vyetu vile. Hako kamji nikiwaga nastress nakujaga kuziondolea huko hasa pale wanaita samakisamaki au nyumbani park..hatari sana unaweza piga 3some bila kupenda
kwa hiyo umeoa kibwengo mkuu basi ww ni nomaMoro wote vibwengo tu japo nimepatiako mke aliyemrithi mke wangu wa ndoa.
Nlitaka nimulize mtoa mada! Mana ni moja kati ya sehemu hatarishi.Hivi Chamwino ya Moro Haina umaarufu wowote?
Alikuwa anafundisha Sabasaba,binti yake Yule mama alizulumu hela yangu,bora ningepiga mzigo tuMarahaba mwanangu, mama yake yule jamaa alikuwa anafundisha 7/7 au K'ndege ndiyo shule ulizosoma wewe.
Huko nilikua naenda kunywa togwaHivi Chamwino ya Moro Haina umaarufu wowote?
Unaanzia wap kwenda wapShida ya Moro ni padogo ukizunguka dakika ishirini umeshamaliza mji
Moro ni mji wenye Pori.Rejea mashamba ya mkonge na Mapori ya SuaMji huu umejaa wahindi naa waarabu ndo maana hauendelei! watu wanapiga hela kwenye barabara za mjini zinajengwa kila siku hazidumu, kila kona ni ma ccm tu yamejaa. Uchafu umezagaa labda siku hizi kidogo, barabara nyingi zimejaa mashimo kila mwaka mto kikundi unapumua maji yake mtaani hakuna suluhisho.
Japokuwa mji ukipangwa na kujengwa vizuri unaweza kuwa kama New York kutokana na mandhari yake lakini kutokana na wenyeji wake wa kikuguru na ushamba wao wakiuita ujanja huu mji hauwezi kuendelea. Tujifunze hata kamji ka Iringa kalivyo pazuri.
Serikali ipanue mji wa Morogoro kwa kuwanyang'anya SUA na Mzinga na Mzumbe ili watu wajenge majumba tena wapime viwanja vipya wakiwanyang'anya au kuwapunguzia taasisi hizo maeneo.
Sasa mtu kama kanivunjia ndoa yangu halali si kibwengo tu huyo.
hahaaa kweli moro moja. nyinyi mmemaliza na akina nani ambao ni maarufu.Namfahamu ndio
moro ya zaman ndo ilikua ndogo sasa hivi mkuu pamejengeka sana na mji umetanuka sana.Shida ya Moro ni padogo ukizunguka dakika ishirini umeshamaliza mji
Vibaka wote walikuwa wanatoka huko sijui siku hiziHivi Chamwino ya Moro Haina umaarufu wowote?