Morogoro Enzi Hizo: Hii ndio Morogoro bwana!

Morogoro Enzi Hizo: Hii ndio Morogoro bwana!

Hahaaa asante mkuu Moro ilikuwa moro haswaa enzi hizo disco linachezwa mango garden na kaumba night park
wajanja wamjini ilikuwa huwa kosi hapo. Hahaa disco linachezwa ukiwa namtoto mzuri watoto wamji mpya na mafisa wanakuja wanakupora.

Ukileta ujuaji wachezea kichapo huku mabaunsa wanakutazama tu watafnya nni sasa wakati watoto wamji mpya wanakuja disco namapanga pia wapo mobb wenyewe walikuwa wanajiita mbwa mwitu achana nahawa mbwa mwitu wajuzi watoto wa mbagala..hao mbwa mwitu mbwa mwitu kweli utachezea kichapo ukijifnya kujittumua wapigwa spoku ya tumbo daaahhh
Sikh zinakimbia mnooo aiseee.
[emoji23][emoji23][emoji23] siku hizi hamna kitu pale Mango,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MORO STAND UP

mimi nimtoto wa moro kindaki ndaki mpka sasa wazazi wangu wapo huko ..hao kina Collen nimeshawahi kuzishuhudia fujo zao ijapokuwa nilikuwa Mdogo ..mbio za magari zilikuwa zinaanzia ktk kiwanda cha pale TOBACO nakwakuwa kwetu nikaribu mnoo na Kile kiwanda basi ilikuwa mashindano yakianza tu sisi tumeshajipanga kushuhudia huo mtanange .. nyumba yetu ilikuwa inaitazma nyumba ya Marehemu mzee mshendwa tajiri wa kihaya aliyekuwa MWANACHAMA WA NCCR mageuzi ya wakati huo basi nilikuwa napata fursa yakumuona Mara kwa Mara mrema akiwa anafika nyumba kwa yule MZEE

huyo jambazi maarufu NDANJE ALIYEKUWA ANATIKISA KWA WAKATI HUO MAMA YAKE AMENISOMESHA SHULE YA MSINGI NASIKU AMBAYO NDANJE ALIKUWA AMEUWAWA TEACHER ALIKUWA CLASS AKITUPIGA PINDI AKAFUATWA NA GOLF YA POLICE ILI KWENDA KUUONA MWILI WA MWANAE

MTOA MADA UMEELEZEA MAMBO MENGI MNOO KUHUSU MORO LAKINI UMESAHAU KUHUSU KILE KISA CHA JAMBAZI ALIYEACHA HISTORIA KUBWA KATKA MJI WETU HUO PENDWA ..ALIKUWA AKIFAHAMIKA KAMA KITENGA KUNATUKIO ALILIFNYA LIKAWAACHA MIDOMO WAZI WATU PALE DARAJANI SHANI CINEMA..JAMAA ALIRUKA SARAKASI NAKUJIRUSHA MTONI alifanya hivyo kwaajili yakukwepa risasi za police waliokuwa wanamkimbiza na zile risasi baada ya kumkosa zikaishia kupiga kwenye nguzo za daraja.

alikuwa anafnya uhalifu wakuogopeka kama kuiba bank kuteka magari ..kuvamia maduka ya wahindi ..Jamaa alipelekea mpaka serikali ya mkoa kutangaza kuwa hupaswi kupaki range rover za wakati huo bank maana ilikuwa akivamia kisha akaikuta hiyo Gari akiichukua nakuanza kukimbia nayo police watamkimbiza mpka wataomba poohh lakini na Jamaa ataishia zake kusiko julikana huko.

Jamaa alitoroka kwao akiwa darasa la sits na hakuwahi kurudi tena mama yke alikuja kumuona tena baada ya miaka kadhaa kupita tena akiwa maiti ..jamaa aliwasumbua mnoo police na alikuja kuuliwa na wamasai ..inasadikika alikuwa anatumia NDUMBA

Kuna mambo mengi mazuri ya kuihusu moro kama kwenda bahati camp kutalii ..kwenda bondwa ktk kilele cha mlima uluguru kutalii pia ukiwa kule waiona mandhari yote ya mji
CHUO CHA MZUMBE .SUA ..
SHULE YA VIPAJI MAALUMU YA WANAWAKE KILAKALA GIRS
kiwanda cha nguo cha azizi abood
na viwanda vingine vingi tu ambavyo sasa vimekufa
Morogoro ilikuwa sehemu ya fursa haswaa kwa vijana ..nilikuwa nawaona watu wengi wakifnya kazi TObaco na demon achilia mbali kuhusu kilimo daahh napendezewa na uwepo wa bwawa la Mindu.

Hahaaa matukio yote hayo ya ujambazi wakati yanatokea mimi nilikuwa Mdogo mnoooo kama hilo la ndanje nakumbuka nilikuwa darasa la pili.
Moro bwana ukikaa shani sinema utaona kila mtu,

Nlikuwa naikubali ile Land Rover ya Pat naskia ilifunga injini ya Range Rover, maana kulikuwa na hizo tetesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo ya wadau inaonekana hizi ndo sehem za mwanzo kabisa za starehe kwa morogoro ingawa kwa sasa pamegeuka magofu pale,nataman kujua palikuwa active sana miaka ipi na mishemishe zake zilikuwj miaka hyo bro
mwaka jana nilikula nyapu pale
 
Naizungumzia zaidi Moro ya kipindi cha nyuma kidogo ya miaka ya 90 hadi 2000 mwanzoni. Hii town ya wajanja, vijana wanaojua kuvaa, wenye exposure, wapenda burudani na utafutaji. Ni mji uliofikia kuitwa jiji kasoro bahari kutokana na upatikanaji wa kila kitu kinachotakiwa. Kulikuwa na shule kubwa mbili Forest Hill na Kigurunyembe ambapo Forest ilikuwa ya watoto wa kishua na Kigurunyembe ilikuwa ya watoto wa kihuni. Mitaa maarufu ilikuwa ya kishua ni Forest, Liti, Sua na Rock Garden. Mitaa maarufu ya ushenzini kulikuwa na Mji mpya, Kichangani, Mafiga.

Watu wa Moro ni wapenzi sana wa burudani haswa muziki na soka. Kulikuwa na timu ya mji maarufu Reli kiboko ya vigogo hii ilikuwa daraja la kwanza alikuwa akija Simba au Yanga atoki. Hiyo Reli naizugumzia ya kina Duncan Butinini, David Mihambo, Fikiri Magoso, Mohamed Mtono hapo kuna mshangiliaji maarufu sana wa kuitwa ya Mungu ambae ndio shabiki wa kwanza Mtanzania kujichora mwilini. Licha ya Reli mtaani kulikuwa na team nyingi sana za mchangani kama chama langu Jamaica, kulikuwa na Black Viba, Small boys, Zaragoza baadae ikawa Moro United, Uruguay, Burkina Fasso, Rhino nk mtaani ilikuwa ni hatari.

Kwenye muziki Moro ina historia ndefu kidogo siwezi kuzungumzia enzi za kina Mbaraka Mwishehe kwa kuwa sikuwepo mimi nilikuwepo enzi za shimoni Morogoro Hotel na Rock Garden na maonyesho ya Forest Hill. Hapa kuna mtu anaitwa DJ Sweet Coffee alikuwa pale mtaa wa Konga ndio alomfundisha Udijei John Dilinga enzi hizo akiitwa John Mkimbizi sababu baba yake alikuwa mkimbizi kambi ya Solomon Mahlangu. Disco lilikuwa linapigwa shimoni na mara nyingi alikuwa anakuja DJ Joseph Kusaga akimfundisha kazi DJ Peter Moe.

Watu wa Moro najua mpo wengi umu Jf naomba tukumbashane mawili matatu matukio, maujanja na mazuri ya Moro Town.

Moro Town ulikuwa pia mji wa kibabe. Kulikuwa na watemi wa mji kina Slim mtoto wa sheikh mkuu, Matata, Gamba mcheza judo, vijana wa siafu toka mji mpya nk

Unaikumbuka Miss Morogoro? Unamkumbuka Alex Nictas?

Unawakumbuka mabingwa wa kudansi kitaifa? Kina Askofu, Bob Tigger, Super Ngedere nk

Unakumbuka mashindano ya magari? Unawakumbuka wakimbiza magari maarufu kina Collen, Steve, Pat, Kararambe, Shanto, De Santos nk

Unakumbuka Wagiriki na bata zao kwa Mama Perina na Acropol? Unakumbuka masista duu na mabraza meni wa mitaa ya Forest?

Unakumbuka enzi za Mnet inaingia mjini? Moro mji wote ulikuwa na access ya kuona dstv bure.

Unakumbuka heka heka za ligi za mbuzi uwanja wa shujaa, makaburini kilakara na kikundi?

Unakumbuka Fete Fete? Unakumbuka Shan cinema? Unakumbuka swimming pool ya rock garden?

Unamkumbuka Mzee Mkwidu na Patel wakuu wa shule maarufu KG & Forest?

Unamkumbuka Maneno Big G rip? Unamkumbuka Mnambo wauza ngada maarufu?

Unamkumbuka Ndanje, jambazi aliyetikisa mji? Unakumbuka ishu yake ya silaha na February Ma rope?

Unamkumbuka toz wa kipindi hicho Puzzo na kundi lake la kurap Watukutu akiwa na Sallam meneja wa Diamond sasa hivi? Unawakumbuka Gangster Family? Unawakumbuka Ze Domp?

Unamkumbuka Achimpota? Unaikumbuka bus la Chambo?

Unakumbuka ule upepo uliokuja wa watu kuzamia Sauz na ulaya?

Umeishi mtaa gani Mafisa, Msufini, Kilakara, Ngoto, Kingo, Mlapakoro, Boma road, Sua, Vibandani, Relwe magorofani, Kigurunyembe, Madizini? Au wapi Umeishi?

Kuna watu maarufu wengi sana DSM ambao maujanja yao wamejifunzia Moro Town. Hakika Morogoro ni jiji kasoro bahari.

WATOTO WA MOROGORO MIKONO JUU.
Safi Mkuu. Ninaomba unikumbushe kidogo. Hivi Mshambuliaji Edward Hizza alikuwa wa Timu gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madizini,kihonda maghorofan,kwachambo,,ndanje vskitenga..kaumba..mango garden...tank bovuuuu....pawa ilanda..dahh hataareee..oacis..
Naizungumzia zaidi Moro ya kipindi cha nyuma kidogo ya miaka ya 90 hadi 2000 mwanzoni. Hii town ya wajanja, vijana wanaojua kuvaa, wenye exposure, wapenda burudani na utafutaji. Ni mji uliofikia kuitwa jiji kasoro bahari kutokana na upatikanaji wa kila kitu kinachotakiwa. Kulikuwa na shule kubwa mbili Forest Hill na Kigurunyembe ambapo Forest ilikuwa ya watoto wa kishua na Kigurunyembe ilikuwa ya watoto wa kihuni. Mitaa maarufu ilikuwa ya kishua ni Forest, Liti, Sua na Rock Garden. Mitaa maarufu ya ushenzini kulikuwa na Mji mpya, Kichangani, Mafiga.

Watu wa Moro ni wapenzi sana wa burudani haswa muziki na soka. Kulikuwa na timu ya mji maarufu Reli kiboko ya vigogo hii ilikuwa daraja la kwanza alikuwa akija Simba au Yanga atoki. Hiyo Reli naizugumzia ya kina Duncan Butinini, David Mihambo, Fikiri Magoso, Mohamed Mtono hapo kuna mshangiliaji maarufu sana wa kuitwa ya Mungu ambae ndio shabiki wa kwanza Mtanzania kujichora mwilini. Licha ya Reli mtaani kulikuwa na team nyingi sana za mchangani kama chama langu Jamaica, kulikuwa na Black Viba, Small boys, Zaragoza baadae ikawa Moro United, Uruguay, Burkina Fasso, Rhino nk mtaani ilikuwa ni hatari.

Kwenye muziki Moro ina historia ndefu kidogo siwezi kuzungumzia enzi za kina Mbaraka Mwishehe kwa kuwa sikuwepo mimi nilikuwepo enzi za shimoni Morogoro Hotel na Rock Garden na maonyesho ya Forest Hill. Hapa kuna mtu anaitwa DJ Sweet Coffee alikuwa pale mtaa wa Konga ndio alomfundisha Udijei John Dilinga enzi hizo akiitwa John Mkimbizi sababu baba yake alikuwa mkimbizi kambi ya Solomon Mahlangu. Disco lilikuwa linapigwa shimoni na mara nyingi alikuwa anakuja DJ Joseph Kusaga akimfundisha kazi DJ Peter Moe.

Watu wa Moro najua mpo wengi umu Jf naomba tukumbashane mawili matatu matukio, maujanja na mazuri ya Moro Town.

Moro Town ulikuwa pia mji wa kibabe. Kulikuwa na watemi wa mji kina Slim mtoto wa sheikh mkuu, Matata, Gamba mcheza judo, vijana wa siafu toka mji mpya nk

Unaikumbuka Miss Morogoro? Unamkumbuka Alex Nictas?

Unawakumbuka mabingwa wa kudansi kitaifa? Kina Askofu, Bob Tigger, Super Ngedere nk

Unakumbuka mashindano ya magari? Unawakumbuka wakimbiza magari maarufu kina Collen, Steve, Pat, Kararambe, Shanto, De Santos nk

Unakumbuka Wagiriki na bata zao kwa Mama Perina na Acropol? Unakumbuka masista duu na mabraza meni wa mitaa ya Forest?

Unakumbuka enzi za Mnet inaingia mjini? Moro mji wote ulikuwa na access ya kuona dstv bure.

Unakumbuka heka heka za ligi za mbuzi uwanja wa shujaa, makaburini kilakara na kikundi?

Unakumbuka Fete Fete? Unakumbuka Shan cinema? Unakumbuka swimming pool ya rock garden?

Unamkumbuka Mzee Mkwidu na Patel wakuu wa shule maarufu KG & Forest?

Unamkumbuka Maneno Big G rip? Unamkumbuka Mnambo wauza ngada maarufu?

Unamkumbuka Ndanje, jambazi aliyetikisa mji? Unakumbuka ishu yake ya silaha na February Ma rope?

Unamkumbuka toz wa kipindi hicho Puzzo na kundi lake la kurap Watukutu akiwa na Sallam meneja wa Diamond sasa hivi? Unawakumbuka Gangster Family? Unawakumbuka Ze Domp?

Unamkumbuka Achimpota? Unaikumbuka bus la Chambo?

Unakumbuka ule upepo uliokuja wa watu kuzamia Sauz na ulaya?

Umeishi mtaa gani Mafisa, Msufini, Kilakara, Ngoto, Kingo, Mlapakoro, Boma road, Sua, Vibandani, Relwe magorofani, Kigurunyembe, Madizini? Au wapi Umeishi?

Kuna watu maarufu wengi sana DSM ambao maujanja yao wamejifunzia Moro Town. Hakika Morogoro ni jiji kasoro bahari.

WATOTO WA MOROGORO MIKONO JUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naizungumzia zaidi Moro ya kipindi cha nyuma kidogo ya miaka ya 90 hadi 2000 mwanzoni. Hii town ya wajanja, vijana wanaojua kuvaa, wenye exposure, wapenda burudani na utafutaji. Ni mji uliofikia kuitwa jiji kasoro bahari kutokana na upatikanaji wa kila kitu kinachotakiwa. Kulikuwa na shule kubwa mbili Forest Hill na Kigurunyembe ambapo Forest ilikuwa ya watoto wa kishua na Kigurunyembe ilikuwa ya watoto wa kihuni. Mitaa maarufu ilikuwa ya kishua ni Forest, Liti, Sua na Rock Garden. Mitaa maarufu ya ushenzini kulikuwa na Mji mpya, Kichangani, Mafiga.

Watu wa Moro ni wapenzi sana wa burudani haswa muziki na soka. Kulikuwa na timu ya mji maarufu Reli kiboko ya vigogo hii ilikuwa daraja la kwanza alikuwa akija Simba au Yanga atoki. Hiyo Reli naizugumzia ya kina Duncan Butinini, David Mihambo, Fikiri Magoso, Mohamed Mtono hapo kuna mshangiliaji maarufu sana wa kuitwa ya Mungu ambae ndio shabiki wa kwanza Mtanzania kujichora mwilini. Licha ya Reli mtaani kulikuwa na team nyingi sana za mchangani kama chama langu Jamaica, kulikuwa na Black Viba, Small boys, Zaragoza baadae ikawa Moro United, Uruguay, Burkina Fasso, Rhino nk mtaani ilikuwa ni hatari.

Kwenye muziki Moro ina historia ndefu kidogo siwezi kuzungumzia enzi za kina Mbaraka Mwishehe kwa kuwa sikuwepo mimi nilikuwepo enzi za shimoni Morogoro Hotel na Rock Garden na maonyesho ya Forest Hill. Hapa kuna mtu anaitwa DJ Sweet Coffee alikuwa pale mtaa wa Konga ndio alomfundisha Udijei John Dilinga enzi hizo akiitwa John Mkimbizi sababu baba yake alikuwa mkimbizi kambi ya Solomon Mahlangu. Disco lilikuwa linapigwa shimoni na mara nyingi alikuwa anakuja DJ Joseph Kusaga akimfundisha kazi DJ Peter Moe.

Watu wa Moro najua mpo wengi umu Jf naomba tukumbashane mawili matatu matukio, maujanja na mazuri ya Moro Town.

Moro Town ulikuwa pia mji wa kibabe. Kulikuwa na watemi wa mji kina Slim mtoto wa sheikh mkuu, Matata, Gamba mcheza judo, vijana wa siafu toka mji mpya nk

Unaikumbuka Miss Morogoro? Unamkumbuka Alex Nictas?

Unawakumbuka mabingwa wa kudansi kitaifa? Kina Askofu, Bob Tigger, Super Ngedere nk

Unakumbuka mashindano ya magari? Unawakumbuka wakimbiza magari maarufu kina Collen, Steve, Pat, Kararambe, Shanto, De Santos nk

Unakumbuka Wagiriki na bata zao kwa Mama Perina na Acropol? Unakumbuka masista duu na mabraza meni wa mitaa ya Forest?

Unakumbuka enzi za Mnet inaingia mjini? Moro mji wote ulikuwa na access ya kuona dstv bure.

Unakumbuka heka heka za ligi za mbuzi uwanja wa shujaa, makaburini kilakara na kikundi?

Unakumbuka Fete Fete? Unakumbuka Shan cinema? Unakumbuka swimming pool ya rock garden?

Unamkumbuka Mzee Mkwidu na Patel wakuu wa shule maarufu KG & Forest?

Unamkumbuka Maneno Big G rip? Unamkumbuka Mnambo wauza ngada maarufu?

Unamkumbuka Ndanje, jambazi aliyetikisa mji? Unakumbuka ishu yake ya silaha na February Ma rope?

Unamkumbuka toz wa kipindi hicho Puzzo na kundi lake la kurap Watukutu akiwa na Sallam meneja wa Diamond sasa hivi? Unawakumbuka Gangster Family? Unawakumbuka Ze Domp?

Unamkumbuka Achimpota? Unaikumbuka bus la Chambo?

Unakumbuka ule upepo uliokuja wa watu kuzamia Sauz na ulaya?

Umeishi mtaa gani Mafisa, Msufini, Kilakara, Ngoto, Kingo, Mlapakoro, Boma road, Sua, Vibandani, Relwe magorofani, Kigurunyembe, Madizini? Au wapi Umeishi?

Kuna watu maarufu wengi sana DSM ambao maujanja yao wamejifunzia Moro Town. Hakika Morogoro ni jiji kasoro bahari.

WATOTO WA MOROGORO MIKONO JUU.
Amadia hosp,manyisa studio[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie aleweka tangazo la Freemason pale kwenye bango la chuo kikuu cha waislam alitoe kabla halijaleta sintofaham
 
MOROGORO HAPO ZAMANI.

Leo 23:25pm 17/04/2020

Watoto wa Morogoro enzi hizo akina John Dilinga,Duncun Butinini,Mbui Yondani na wengine wengi waliokuwa maarufu pale Mji kasoro Bahari.

Naizungumzia zaidi Moro ya kipindi cha nyuma kidogo ya miaka ya 1980 hadi 2000 mwanzoni... Hii town ya wajanja , vijana wanaojua kuvaa,wenye exposure, wapenda burudani na utafutaji...

Ni mji uliofikia kuitwa jiji kasoro bahari kutokana na upatikanaji wa kila kitu kinachotakiwa... Kulikuwa na shule kubwa mbili Forest Hill na Kigurunyembe ambapo Forest ilikuwa ya watoto wa kishua na Kigurunyembe ilikuwa ya watoto wa kihuni...

Mitaa maarufu ilikuwa ya kishua ni Forest, Liti, Sua na Rock garden... Mitaa maarufu ya ushenzini kulikuwa na Mji mpya, Kichangani, Mafiga.

Kwa sasa kichangani ni kama Kinondoni,kwa sasa Kichangani kumekuwa ushuani,Lami kila sehemu na mataa ya Magufuli,Enzi hizo Kichangani kwa watukutu kulikuwepo jamaa mmoja alikuwa anajiita mjepu, alikuwa anaingiza shilingi begani inazama yote,

Shule bora wakati huo Bungo Primary school watoto wa kichangani,walikuwa hawaruhusiwi kwenda kusoma pale,kukataliwa kulikuwa kwa sababu ya utukutu wa watoto wa kichangani,lakini niwajuze tu kichangani ndipo kulikuwa na studio bora ya muziki,

Studio ya Mbaraka Mwishehe ambapo bendi kama Cuban Malimba na Moro Jazz zilipata kurekodi hapo,utakumbuka nyimbo kadhaa za mkali wa muziki Tanzania,mkali ambaye miaka ya sabini tayari alipanda ndege kwenda kupiga Muziki pale Tokyo,Japan

Baadhi ya nyimbo zake kama ile ya heri ya Sikukuu ya Iddi "Nakutakia mkono wa Iddi" na "shemeji shemeji huku wazima taa" na nyingine nyingi kama "Jogoo la Shamba haliwiki mjini" Kichangani ni sehemu ya kihistoria,

Watoto watukutu wa kichangani enzi hizo walikuwa jumamosi wanaenda nanenane, kulikuwa na dampo linaitwa mchafu koge, watoto wa kichangani walikuwa wanaenda kuokota mavitu ya wazungu, hatari sana,umenikumbusha mbali sana mwanangu.

Tuachane na kichangani,Wakazi wa Moro ni wapenzi sana wa burudani haswa muziki na soka vitu hivi viwili vilikuwa kwenye damu yao sababu ya mastaa wa muziki kama Mbaraka Mwishehe na Staa wa soka Charles Boniface Mkwasa,Peter Tino na wengine wengi...

Morogoro kulikuwa na timu maarufu Reli kiboko ya vigogo,Reli ni kizazi cha pili cha timu bora ya timu za miaka ya sabini kama mseto,Sasa Reli kiboko ya vigogo ilikuwa daraja la kwanza alikuwa akija Simba au Yanga atoki..

Hiyo Reli naizugumzia ya kina Duncan Butinini, David Mihambo, Fikiri Magoso, Mohamed Mtono hapo kuna mshangiliaji maarufu sana wa akiitwa "Ya mungu" ambae ndio shabiki wa kwanza mtanzania kujichora mwilini rangi nini na kubakisha macho na bukta yake tu

Licha ya Reli mtaani kulikuwa na team nyingi sana za mchangani kama chama langu Jamaica,Black Viba, Small boys, Zaragoza baadae ikawa Moro United, Uruguay, Burkina Fasso, Rhino nk mtaani ilikuwa ni hatari,

Timu ambazo ziliacha umaarufu pale Morogoro ni Uruguay na Paraguayi timu hizi zikicheza refa alikuwa anaingia na panga sasa goli likifungwa mara nyingi ndio ilikuwa mwisho wa mchezo vurugu zake watu wataenda kung'oa misalaba katika uwanja ule wa kilakala makaburini,ilikuwa balaa kubwa.

Kwenye muziki Moro ina historia ndefu kidogo siwezi kuzungumzia enzi za kina Mbaraka Mwishehe kwa kuwa sikuwepo mimi nilikuwepo enzi za shimoni Morogoro Hotel mziki mkubwa wa JDs Entertainment nazungumzia muziki wa John Dilinga,burudani ya beach ilikuwa Rock Garden na maonyesho ya Forest Hill..

Sasa kwenye burudani ya muziki kulikuwa na mtu anaitwa Dj Sweet Coffee alikuwa pale mtaa wa Konga ndio alomfundisha Udijei John Dilinga enzi hizo akiitwa John Mkimbizi sababu baba yake alikuwa mkimbizi kambi ya Solomon Mahlangu..

Disco lilikuwa linapigwa shimoni na mara nyingi alikuwa anakuja Dj Joseph Kusaga akimfundisha kazi Dj Peter Moe.

Watoto wa Moro enzi hizo najua mpo wengi,Mwisho Mwampamba,O-Ten na Mfalme Sele awa ni kizazi cha tatu cha burudani Mjini Morogoro,Aya watoto wa Moro naomba tukumbashane mawili matatu matukio, maujanja na mazuri ya Moro Town.

Moro Town ulikuwa pia mji wa kibabe.. Kulikuwa na watemi wa mji kina Slim mtoto wa sheikh mkuu, Matata, Gamba mcheza judo, vijana wa siafu toka mji mpya nk

Unaikumbuka Miss Morogoro? Lilikuwa tukio kubwa mjini,Unawakumbuka wadau Alex Nictas, Unamkumbuka Kalalambe, unamkumbuka Ghikas,

Unawakumbuka mabingwa wa kudansi kitaifa? Kina Askofu, Bob Tigger, Super Ngedere nk

Unakumbuka mashindano ya magari? Unawakumbuka wakimbiza magari maarufu waliopata kutwaa medali za dhahabu Afrika Mashariki na kati akina Collen, Steve, Pat, Kararambe, Shanto, De Santos wengi wao walikuwa ni mainjia pale kwenye karakana ya treni ya Jumuiya ya Afrika Mashariki,

Unakumbuka watoto wa kigiriki na bata zao na mademu zao kwa Mama Perina na Acropol? Achana na akina Sushi na Periminda Rajj awa ni uzao wa tatu kwa watoto wazuri enzi hizo mjini Morogoro,Unakumbuka masista duu na mabraza meni wa mitaa ya Forest?

Unakumbuka enzi za Mnet inaingia mjini? Moro mji wote ulikuwa na access ya kuona dstv bure toka mwaka 1990 hii ilikuwa ni favor ya Wasouth hasa baada ya kuachiwa Nelson Mandela, ambao ndugu zao walikuwa pale Mazimbu,Morogoro wameoa Waluguru na tayari wamelowea Morogoro.

Unakumbuka heka heka za ligi za mbuzi uwanja wa shujaa, makaburini kilakala,Jabal hira na kikundi,achana na Jamhuri Stadium ulikuwa uwanja wa kishua.

Unakumbuka Fete Fete? Unakumbuka Shan Cnema? Unakumbuka swimming pool ya rock garden? Ha ha ha nitakuwa nimekukumbusha mbali sana mtoto wa Moro,

Unamkumbuka Mzee Mkwidu na Patel wakuu wa shule maarufu Kigurunyembe & Forest Hill? Awa walikuwa na Wazima kama miungu miwili wa Shule kubwa za Sekondari mjini Moro,

Unamkumbuka Maneno Big G rip? Unamkumbuka Mnambo wauza ngada maarufu? Hatari sana.

Unamkumbuka Ndanje jambazi aliyetikisa mji? Unakumbuka ishu yake ya silaha na February Ma rope?

Unamkumbuka toz wa kipindi hicho Puzzo na kundi lake la kurap Watukutu akiwa na Sallam meneja wa Diamond sasa hivi?

Unawakumbuka Gangster Family? Unawakumbuka Ze domp?

Unamkumbuka Mwalimu Achimpota,Unaikumbuka bus la Chambo kutoka kihonda, unakumbuka tuisheni za Shule ya Mwele na Sabasaba.

Unakumbuka ule upepo uliokuja wa watu kuzamia Sauz na ulaya? Akina Master Bros kule CCT mizambarauni na nyimbo yake ya "Dear Mama" akiomba msamaha kwa Mama yake baada ya Safari yake ya kwenda Zambia kuishia mpakani Afrika ya kusini.

Umeishi mtaa gani Mafisa, Misufini kwa Afande Sele, Kilakala, Ngoto, Kingo, Mlapakoro, Boma road, Sua, Vibandani, Relwe magorofani, Kigurunyembe, Madizini? Au wapi Umeishi?

Kuna watu maarufu wengi sana Dar ambao maujanja yao wamejifunzia Moro Town... Hakika Morogoro ni Jiji kasoro bahari.

WATOTO WA MOROGORO MIKONO JUU!!!

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Nipo Dar hivi sasa,
0755078854
Mimi nikienda kilalakala kwa pro. Mmoja wa Sua ,kabinti chake kalinidondokea bas kila weekend nipo Moro nikiwa na pesa nikilala hotel hapo jiran na Abood bus lkn kama naungaunga nikilala kwa Macha gest.Kuna siku prof.alisafiri na mama naye akadrop Dar,nililala na mtoto chumban kwake ndani kwa prof.Hatari Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mji kasoro bahari unavyoita...

Wapenda mnanda kule ni wengi sana...


Cc: mahondaw
Jiwe Alipaita Katikati
Kulala Katikati Kuna Raha Yake Unapata Ya Dar Es Salaam Na Dodoma
Katikati Ni Pazuri Ndugu Zangu
Nasema Uongo Watani Zangu Wa Morogoro
 
Morogoro kuzuri sana though sio mtu wa huko wala siishi huko.

Jiji la mwanza namba one✔
Morogoro✔
Kibaha✔
Dar✔
Dodoma✔
Mbeya✔
Geita✔
Katavi✔
Chato✔
 
Back
Top Bottom