DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
Mpira wa Africa una figisu sana. Inashangaza sana kuna wenzetu wanaunga mkono figisu inazofanyiwa Simba au wanatoa vimaneno pale Simba inapofanya kila inachoweza kupata ushindi, hawajui kuna siku kwa unyonge wetu na timu zao zinaweza kuja kuwa wahanga na kuwa harakati za Simba zinafungua njia kwa mafanikio ya timu zetu nyingine wajue wapite wapi.
Kuhusu mechi ya jana, watu hawajaongelea kitendo cha screen ya VAR kutofanya kazi kuanzia mwanzoni tu wa mchezo hadi mchezo mzima. Mwamuzi aliwataarifu macaptain kuwa sceeen ina hitilafu kwa hiyo likitokea lolote inabidi awasikilize tu wasaidizi waliopo kwenye chumba cha VAR.
Morocco ni mwenyeji wa ofisi muhimu zisizopungua mbili za soka. Hata tuzo za CAF huwa zinafanyika Morocco. Inashangaza sehemu kama hii inaruhusu figisu za namna hii zinafanyika.
Mpira wa Africa ukiwa nyumbani kwako hautakiwi kumuangalia mtu usoni. Waarabu wanalijua hili ndiyo maana wamejimilikisha mafanikio ya mpira wa Africa katika ngazi ya vilabu.
Kesho katika mechi ya nyumbani ya Simba VAR ikiwa haifanyi kazi, utasikia midomo ya waswahili wenzetu.
Embu tujitambue tuache kuwaunga mkono na figisu zao kisa tuna utani wa jadi wa ndani, hivi hivi tutabaki wanyonge milele.
Katika mechi ya pili ya fainali wiki ijayo dhidi ya Berkane, Simba ifungulie booster zote za Ubaya Ubwela, isiache silaha katika stoo.
Kuhusu mechi ya jana, watu hawajaongelea kitendo cha screen ya VAR kutofanya kazi kuanzia mwanzoni tu wa mchezo hadi mchezo mzima. Mwamuzi aliwataarifu macaptain kuwa sceeen ina hitilafu kwa hiyo likitokea lolote inabidi awasikilize tu wasaidizi waliopo kwenye chumba cha VAR.
Morocco ni mwenyeji wa ofisi muhimu zisizopungua mbili za soka. Hata tuzo za CAF huwa zinafanyika Morocco. Inashangaza sehemu kama hii inaruhusu figisu za namna hii zinafanyika.
Mpira wa Africa ukiwa nyumbani kwako hautakiwi kumuangalia mtu usoni. Waarabu wanalijua hili ndiyo maana wamejimilikisha mafanikio ya mpira wa Africa katika ngazi ya vilabu.
Kesho katika mechi ya nyumbani ya Simba VAR ikiwa haifanyi kazi, utasikia midomo ya waswahili wenzetu.
Embu tujitambue tuache kuwaunga mkono na figisu zao kisa tuna utani wa jadi wa ndani, hivi hivi tutabaki wanyonge milele.
Katika mechi ya pili ya fainali wiki ijayo dhidi ya Berkane, Simba ifungulie booster zote za Ubaya Ubwela, isiache silaha katika stoo.