Lol😁😁Na kifua cha huyu mama mbunge kinaonekana ni mashalaah
Lol😁😁Na kifua cha huyu mama mbunge kinaonekana ni mashalaah
Taarifa za uchunguzi wa awali zinadokeza kwamba LENGO KUU LILIKUWA NI KUMUUA MH MBUNGE , lakini kama tunavyosema mara zote , shetani hajawahi kumshinda Mungu .Yanayoendelea kwenye uchaguzi wa Jimbo la Monduli jijini Arusha yanasikitisha pamoja na nguvu kubwa imetumika na Jeshi la Polisi kuzuiwa mawakala wa upinzani kuingia kwenye chumba cha kupiga kura .
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
View attachment 867805
===========
Nguvu pekee ya awamu hii ni mtutu wa bunduki , wamepoteza ushawishi hata wa wanyama , wakiacha kutumia risasi watatawalaje ?Dalili za kufeli kutawala!! Mambo ya risasi risasi hayajawahi kuwepo tangu Mwalimu na awamu zote zilizopita...asituvunjie amani yetu...hapa si Rwanda.
Uongo hautakufikisha popote, jitambue kijana.Taarifa za uchunguzi wa awali zinadokeza kwamba LENGO KUU LILIKUWA NI KUMUUA MH MBUNGE , lakini kama tunavyosema mara zote , shetani hajawahi kumshinda Mungu .
Nchi imefika patamu sana ! lazima muelewe kwamba hakuna ukombozi wa mdebwedo ni lazima damu nyingi imwagike kwanza .
siku yenu iko karibu sana !Uongo hautakufikisha popote, jitambue kijana.
Yenu imeshafikasiku yenu iko karibu sana !
Siku hiyo utalia na kusaga meno kudadeki ! tumewavumilia sana wanafiki wakubwa nyie !Yenu imeshafika
Utalia wewe na uongo wako na uzindaki wako , we aliekuambia wanataka kumuua nani ? Kama si uzushi ni nini ?acha kupotosha jamii , jitambue kijana.Siku hiyo utalia na kusaga meno kudadeki ! tumewavumilia sana wanafiki wakubwa nyie !
UCD una akili za ngamia wewe/ toa uchafu wako hapaHabari yako ni ya kichochezi tu mbona hutoi sababu ya kupigwa risasi?? wewe ulikuwepo?? Au mmeanza kutengeneza matukio ya kupika kwa kuwa mmeshajua mmeshashindwa!!
kumbe nabishana na zuzu ! risasi tairi zote lengo la polisi aliyetumwa kupiga lilikuwa nini ? bahati nzuri au mbaya kwako mpigaji alitetemeka akaangusha bunduki , nina watu wangu ndani ya eneo yalikopangwa mauaji na video ya tukio zima tumeipata , Masikini mkubwa wee !Utalia wewe na uongo wako na uzindaki wako , we aliekuambia wanataka kumuua nani ? Kama si uzushi ni nini ?acha kupotosha jamii , jitambue kijana.
Mnaeleweka Kila jambo lamaana mnaongea kinyesi mnaudhi Sana. Na ngojeeni. Muda ni hakimu mzuri ipo siku yatawarudiaHabari yako ni ya kichochezi tu mbona hutoi sababu ya kupigwa risasi?? wewe ulikuwepo?? Au mmeanza kutengeneza matukio ya kupika kwa kuwa mmeshajua mmeshashindwa!!
Mpaka utakuwa kikongwe unasubiri muda ufike!Mnaeleweka Kila jambo lamaana mnaongea kinyesi mnaudhi Sana. Na ngojeeni. Muda ni hakimu mzuri ipo siku yatawarudia
Wewe ndio kubwa jinga kabisa ,tukio zima gani unalo wewe? Chadomo kwa uzushi tunawafehemu , matukio mnapanga wenyewe , ili kuuaminisha umma wa watanzania ndivyo sivyo , idiot.kumbe nabishana na zuzu ! risasi tairi zote lengo la polisi aliyetumwa kupiga lilikuwa nini ? bahati nzuri au mbaya kwako mpigaji alitetemeka akaangusha bunduki , nina watu wangu ndani ya eneo yalikopangwa mauaji na video ya tukio zima tumeipata , Masikini mkubwa wee !
Hahahahah vichaa tupo wengi mkuu Cc. Nimemchaguwa kwakuwa ni kichaa mwenzangu! Maneno ya mwenyekiti!Namuheshimu kwakuwa ni ' Mwendawazimu ' mwenzako hivyo naogopa asiniambukize ' Uwendawazimu ' wake.
Kila damu inayomwagwa na ccm italipwa .Hivi hiki kikundi cha magaidi (CCM) ni lini wataacha kuwaua raia wasiokuwa na hatia? Mmeshindwa kumuua Tundu Lissu, bado mna hamu ya kuua wengine? Mmelaaniwa nyie wanahizaya wakubwa!