Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Yanayoendelea kwenye uchaguzi wa Jimbo la Monduli jijini Arusha yanasikitisha pamoja na nguvu kubwa imetumika na Jeshi la Polisi kuzuiwa mawakala wa upinzani kuingia kwenye chumba cha kupiga kura .
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
Mbunge huyo amesema kitendo hicho kimetokea leo Jumapili, tarehe 16 Septemba 2018.
Amesema kuwa tukio hilo limetokea kata ya Majengo wilaya ya Monduli mkoani Arusha akiwa anasimamia uchaguzi wa ubunge wa jimbo hilo unaofanyika leo
.
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
Mbunge huyo amesema kitendo hicho kimetokea leo Jumapili, tarehe 16 Septemba 2018.
Amesema kuwa tukio hilo limetokea kata ya Majengo wilaya ya Monduli mkoani Arusha akiwa anasimamia uchaguzi wa ubunge wa jimbo hilo unaofanyika leo