Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
- Thread starter
- #181
Asante mkuu atakuwa amekuelewa
Hiyo ni style ya uandishi wa kisomi na kisheria kwa jambo ambalo hujapata ushahidi wa kutosha kutoka kwa msemaji mwenye mamlaka mpaka iwe confirmed. Sio kila jambo unaweza draw conclusion za kiswahili swahili!