Zingine propaganda mkuu. Lazima uwe na akili ya kuchuja mamboIla sisiemu kuna mambo wanafanya mbaka yana chukiza hasa ktk hii awamu ya mkulu.
Yawezekana issue imekua staged ? Hatari sana !Zinatafutwa kura za Huruma, mbona hamtuonyeshi walikuwepo wakati wanapigwa hizo risasi, hata clip
Nikifuatilia maneno yako huwa inaonekana wewe ni CCM ndakindaki lakini aliyekataliwa na huyo unayemtuhumu. Maneno yako haya yanaonyesha mlikuwa na makubaliano lakini mlikuwa kupishana jambo fulani la Siri hautaki kulisema, right?Huyu mtu sijiu ni kwanini bado anaendelea kupewa heshima zote anazopewa.
Hata hapa JF watu wakiandiaka manene makali kumuhusu wacheni watu wamseme na sio kumlindalinda mradi tu hawavunji sheria wala kumtukana mtu.
Wahariri wa vyombo vya habari ni wakati wa nyinyi pia kuacha kumpamba katika media zenu.
Tukiendelea kumpa promo, kujifanya hatuoni na kumlindalinda hakika tutakuja kuona matokeo yake.
Huyu mtu ama ni mgonjwa wa akili au ni hana element za ubinadamu kabisa.
Kila mtu anapaswa kumuona ni adui kwani ameshaonyesha sifa zote za kutostahili kuungwa mkono kwa kauli na matendo yake.
.
In short, huyu ni mtu hatari sana na hana urafiki na mtu siku yoyote anaweza kukugeuka mradi tu mmepishana katika jambo fulani.
Wenzetu mnaodhani mko safe au kufikiri haya hayawahusu, mjue tu mnajidanganya na ipo siku kwa pamoja mtakiri kuwa mlichelewa kumkataa.
Watu wasiojulikanaYanayoendelea kwenye uchaguzi wa Jimbo la Monduli jijini Arusha yanasikitisha pamoja na nguvu kubwa imetumika na Jeshi la Polisi kuzuiwa mawakala wa upinzani kuingia kwenye chumba cha kupiga kura .
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
View attachment 867805
===========
We unajulikana ni kichaa na umekaa mirembe unachoandika ht mtt akisoma anajua ni kichaa
Unamheshimu amekuolea Dada yako?
Huyu mtu sijiu ni kwanini bado anaendelea kupewa heshima zote anazopewa.
Hata hapa JF watu wakiandiaka manene makali kumuhusu wacheni watu wamseme na sio kumlindalinda mradi tu hawavunji sheria wala kumtukana mtu.
Wahariri wa vyombo vya habari ni wakati wa nyinyi pia kuacha kumpamba katika media zenu.
Tukiendelea kumpa promo, kujifanya hatuoni na kumlindalinda hakika tutakuja kuona matokeo yake.
Huyu mtu ama ni mgonjwa wa akili au ni hana element za ubinadamu kabisa.
Kila mtu anapaswa kumuona ni adui kwani ameshaonyesha sifa zote za kutostahili kuungwa mkono kwa kauli na matendo yake.
.
In short, huyu ni mtu hatari sana na hana urafiki na mtu siku yoyote anaweza kukugeuka mradi tu mmepishana katika jambo fulani.
Wenzetu mnaodhani mko safe au kufikiri haya hayawahusu, mjue tu mnajidanganya na ipo siku kwa pamoja mtakiri kuwa mlichelewa kumkataa.
COM hawawezi kushinda uchaguzi kwenye fare electionHabari yako ni ya kichochezi tu mbona hutoi sababu ya kupigwa risasi?? wewe ulikuwepo?? Au mmeanza kutengeneza matukio ya kupika kwa kuwa mmeshajua mmeshashindwa!!
Kama ni hivi sinaimani kama nipo kwenye nchi yangu yaamani inaonekana kiongozi mkuu wa serekali hajali roho za watu tukiisha wote sijui atamuongoza nani mungu nakuomba tutolee hili jangaYanayoendelea kwenye uchaguzi wa Jimbo la Monduli jijini Arusha yanasikitisha pamoja na nguvu kubwa imetumika na Jeshi la Polisi kuzuiwa mawakala wa upinzani kuingia kwenye chumba cha kupiga kura .
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
View attachment 867805
===========
Photoshop. Polisi wako wapi?Yanayoendelea kwenye uchaguzi wa Jimbo la Monduli jijini Arusha yanasikitisha pamoja na nguvu kubwa imetumika na Jeshi la Polisi kuzuiwa mawakala wa upinzani kuingia kwenye chumba cha kupiga kura .
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
View attachment 867805
===========
Na kifua cha huyu mama mbunge kinaonekana ni mashalaahYanayoendelea kwenye uchaguzi wa Jimbo la Monduli jijini Arusha yanasikitisha pamoja na nguvu kubwa imetumika na Jeshi la Polisi kuzuiwa mawakala wa upinzani kuingia kwenye chumba cha kupiga kura .
Muda Gari ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Manyara, Mhe.Anna Gidarya imeshambuliwa kwa kupigwa risasi kwenye matairi muda mfupi uliopita akiwa katika kata ya Majengo watu wanaodaiwa ni Jeshi la Polisi.
View attachment 867805
===========
Mtugani? Mtaje sio unaishia tu huyu mtu, huyu mtu. Kama ni mbowe promo aipate wapi?Huyu mtu sijiu ni kwanini bado anaendelea kupewa heshima zote anazopewa.
Hata hapa JF watu wakiandiaka manene makali kumuhusu wacheni watu wamseme na sio kumlindalinda mradi tu hawavunji sheria wala kumtukana mtu.
Wahariri wa vyombo vya habari ni wakati wa nyinyi pia kuacha kumpamba katika media zenu.
Tukiendelea kumpa promo, kujifanya hatuoni na kumlindalinda hakika tutakuja kuona matokeo yake.
Huyu mtu ama ni mgonjwa wa akili au ni hana element za ubinadamu kabisa.
Kila mtu anapaswa kumuona ni adui kwani ameshaonyesha sifa zote za kutostahili kuungwa mkono kwa kauli na matendo yake.
.
In short, huyu ni mtu hatari sana na hana urafiki na mtu siku yoyote anaweza kukugeuka mradi tu mmepishana katika jambo fulani.
Wenzetu mnaodhani mko safe au kufikiri haya hayawahusu, mjue tu mnajidanganya na ipo siku kwa pamoja mtakiri kuwa mlichelewa kumkataa.