Dah nimejitahidi week imepita bila kunywa pepsi, mdogomdogo nitaacha kabisaPeps kama peps ndani yake kuna kilevi ambacho humufanya mtu kukifikiria kila wakati kama cocane , hivo ukijichanganya ukanywa moja kesho keshokutwa bas hutokaa uache. Mm ni mlevi wa peps nikipata chakula cha mchana lazima iwepo pemben nimejaribu kuacha imeshindikana.
Huyu maji ya uhai kashajitia nuksi kitambo tu..ile kuyafanya maji yake yawe machungu sijui alikuwa anafikiria nini aisee..pamoja na kuongeza kiwango cha lita bado soko lake limeshuka ..Ni kweli hata maji kifungashio Cha maji ya afya kilikuwa Cha kuvutia soko lao likapanda na uhai ikapoteza soko lakini uhai imerudi kwa kasi sana lita 1.6 ni mia tano wakati afya lita 1.5 ni mia sita na lita1 ndiyo mia tano
Pepsi dare for more 😝😝
Zilivyokuwa tamu vile unakunywa tatu?Mi soda yangu pendwa ilikuwa VIMTO. Sijui hata ilipotelea wapi hii kitu jamani. Nilikuwa napiga chupa hadi 3 kwa mpigo.
Niliona pahala kwamba caffeine ipo katika kila kinywaji chenye rangi nyeusiKampuni waweke caffeine kwenye peps wanywaji wataongezeka
Basi itakuwa wanaweka kidogo sana kiasi kwamba si rahisi kutambulika kwa wanywajiNiliona pahala kwamba caffeine ipo katika kila kinywaji chenye rangi nyeusi
Umenikumbusha mchuano mkali wa kifalsafa kati ya Plato na mwanafunzi wake aitwaye AristotleBeaute is in the eye of the beholder.
Mimi nitasema hakuna chakula kitamu kama Ugali na mlenda.
Mo Energy inauza si mchezoDah! Huu utafiti wako aisee unachekesha... anyway huku nilipo vinywaji vya energy vinatumiwa sana na vinapendwa mpaka na waliokatazwa kuvitumia
Mirinda nyeusi na azam energy ndo habari ya mjiniNdugu zangu wa mirinda nyeusi tujuane..
Hamna soda tamu kama mirinda nyeusi.hiki kinywaji kitamu, nadhan wanaotumia pepsi hawakijui
Baridi Kama ngumu kumeza?Hicho ni kinywaji baridi sio laini
Ntakupikia siku moja na maziwa mgando pembeni au