Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Naona Pepsi inazidi kupendwa sana na wabongo, sijui kwanini juzi kati nilikuwa Dar kama unavyojua Dar jua kali sana sehemu za vinywaji laini wengi walikuwa wanaagiza pepsi na maji.
Sasa hivi mkoa niliopo kulikuwa na sherehe mahali nami nikawepo hapo kulikuwa hamna pombe bali ni aina zote za soda lakini wengi walikuwa wanaagiza waletewe pepsi.
Hata ukicheki mida ya mchana ile time watu hawanywi pombe wakiwa bar au wap wengi huagiza pepsi tu.
Hongereni pepsi maana hata hapa nilipo kaa sasa hivi napata pepsi yangu ya baridi.
Sasa hivi mkoa niliopo kulikuwa na sherehe mahali nami nikawepo hapo kulikuwa hamna pombe bali ni aina zote za soda lakini wengi walikuwa wanaagiza waletewe pepsi.
Hata ukicheki mida ya mchana ile time watu hawanywi pombe wakiwa bar au wap wengi huagiza pepsi tu.
Hongereni pepsi maana hata hapa nilipo kaa sasa hivi napata pepsi yangu ya baridi.