Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 713
- 1,738
Wakuu
Moja ya kijana naye mfadhili masomo toka primary leo ameniambia ndio amepata mkopo
Kwenye process nzima alinishirikisha toka mwanzo.
Ile hawamu ya kwanza aliniambia hajapata, baada ya hapo hakunipa mrejesho tena
Kwa kuwa mda wa vyuo ulikua unakaribia nikafanya mchakato akapata ada na accommodation
Sasa leo amenipigia ameniambia amepata mkopo, nikamwabia ni jambo la kushukuru
Sasa muda huu najaribu kufanya reasoning na kupitia baadhi ya threads kule jukwaa la elimu naona tokea last year October watu wamepewa mkopo
Je, mkopo uwa unaingia mda wowote?
==
Nimeamua tu kunyamaza kwa maana maisha yenyewe ndo haya haya
Moja ya kijana naye mfadhili masomo toka primary leo ameniambia ndio amepata mkopo
Kwenye process nzima alinishirikisha toka mwanzo.
Ile hawamu ya kwanza aliniambia hajapata, baada ya hapo hakunipa mrejesho tena
Kwa kuwa mda wa vyuo ulikua unakaribia nikafanya mchakato akapata ada na accommodation
Sasa leo amenipigia ameniambia amepata mkopo, nikamwabia ni jambo la kushukuru
Sasa muda huu najaribu kufanya reasoning na kupitia baadhi ya threads kule jukwaa la elimu naona tokea last year October watu wamepewa mkopo
Je, mkopo uwa unaingia mda wowote?
==
Nimeamua tu kunyamaza kwa maana maisha yenyewe ndo haya haya