IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
Somoche umenigusa kwa mananeno yako hasa ikizingatiwa kwamba Mheshimiwa alikua Luteni Kanali. Kwa kauli yake kaweka silaha chini katika hili la umeme. Hivi hapa wananchi tunatakiwa tufanyaje??Hali hii haikubalikiKuna kitu jeshini wanaita maintenance of Morale...yaani hata mkipigwa kamanda wenu anasema hawa tumeshawashinda na sasa hizo wanazopiga ni za mwisho wameishiwa kabisa...kumbe anatafuta plan B...sasa huyu Rais wetu nasikia alikua jeshini lakini sidhani kama huyu jamaa anaweza kuongoza nchi ikashinda vita yeyote achilia mbali hii ya umeme,njaa,umasikini,wizi,,uporaji wa mali za umama!!! ikija vita kabisa hapa ya mtutu atakimbia kabisa..