Tatizo lenu si CCM tatizo lenu ni Rais aliyeko madarakani, semeni kweli, kwani hao viongozi wenu wote, si walitokea CCM? walifanya nini walipokuwa huko? ambacho wakiwa nje ya CCM watakifanya zaidi? sikioni ila tu, wana uchu wa madaraka na wana agenda za siri zinazoambatana na mfumo wa itikadi fulani, kwani si tumeona nyumba za ibada fulani huko sumbawanga zikiwapiga marufuku maumini wao eti kwa sababu tu wamempigia kura Kikwete na hivi juzi tumeona chama cha kisiasa kinachofata dini fulani mpaka kwenye jina lake kikiwatembelea chadema, na tunaona viongozi wangapi wadini fulani wakiiongoza chadema kwa sasa? na wabunge wangapi wa kutokea hukohuko?Tusidanganyane, ukweli uko wapi na "all roads leads to Rome".