GATS
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 240
- 18
Sasa wewe umekuja kumponda Rais hapa kwa kukusanya vikumbukumbu vyako visivyokuwa na kichwa wala miguu. Yaani umeishiwa hoja unaanza kuleta chochote kile.
Mwita 25 wewe hutaki kuujua ukweli ulivyo. Kama huwezi kuelewa hayo maelezo basi ni kazi ngumu kuelewa maana hata mtoto wa darasa la pilia ameelewa kuwa kupokea msaada sio kosa maana hata sisi huwa tunatoa msaada. Kumbuka kati ya hotuba za nyerere aliwahi sema kama ikitokea TZ ina njaa na wenye chakula ni makaburu basi atakwenda kupiga magoti wampe. Sembuse na hili la zito ambolo wale wawekezaji wanaendelea kuzungumza jinsi gani watalipa kodi. Wakulaumiwa kuhusu Barrick ni CCM. Sio hivyo vitu vidogo sana vya kujenga shule. Barrick wametoa ilikuwa haki ya wa TZ na walichotoa ni kidogo wanatakiwa watoe zaidi.