Infinite_Kiumeni
JF-Expert Member
- Jan 23, 2023
- 382
- 661
Mwanamke anapenda ajisikie amani kwako ili aweze kujiachia.
Kama mwanamke wako siku hizi unaona;
Hana hamu ya kufanya mapenzi,
Uke mkavu, japo zamani alikua ukimgusa tu maji yamejaa,
Au zamani alikua anaanzisha kufanya mapenzi lakini sasa mpaka uombe sana. Ujue kuna shida. Lakini kabla hujaanza kulaumu mwanamke wako anakusaliti angalia kwanza shida ipo wapi.
.
Inawezekana,
Umemkera, au
Umefanya kitu kilichomuumiza, au
Mvuto wako kwake umepungua, au
Hamjaelewana sehemu, na hamjaongea vizuri, au
Uliahidi kitu na hujafanya, au
Umeshindwa kuvunja vizuizi vyake/ kuyapita majaribio yake, au
Hujafanya kitu unachotakiwa kufanya (hasa kifedha).
Hivyo vitamfanya mwanamke awe na wasi wasi kuhusu ujasiri wako.
.
Kazi yako kama mwanaume ni kumfanya afunguke tena. Mwanamke akikufungukia kihisia, pia atakufungulia miguu yake. Lakini mwanamke aliyejifunga kihisia kwako, ataifunga miguu yake kwako pia.
Hakikisha unaanza kuwasiliana naye vizuri, unampa nafasi na unamruhusu kufunguka kwako.
Muulize maswali zaidi ya kutaka kuwa sawa, muulize akuambie vyote vinavyomsumbua mpaka mwenyewe aseme “asante, najisikia amani sasa”.
Muda mwingine unaweza muuliza, “unataka nikusikilize tu au nikushauri” ili usije ukajikuta unamshauri mtu anayetaka kusikilizwa tu.
.
Hata hivyo mwanaume unatakiwa kuhakikisha unatengenezea mahusiano mazingira mazuri.
Na mwelekeo wa mahusiano yenu upo mikononi mwako kuuendesha.
Kama mwanamke wako siku hizi unaona;
Hana hamu ya kufanya mapenzi,
Uke mkavu, japo zamani alikua ukimgusa tu maji yamejaa,
Au zamani alikua anaanzisha kufanya mapenzi lakini sasa mpaka uombe sana. Ujue kuna shida. Lakini kabla hujaanza kulaumu mwanamke wako anakusaliti angalia kwanza shida ipo wapi.
.
Inawezekana,
Umemkera, au
Umefanya kitu kilichomuumiza, au
Mvuto wako kwake umepungua, au
Hamjaelewana sehemu, na hamjaongea vizuri, au
Uliahidi kitu na hujafanya, au
Umeshindwa kuvunja vizuizi vyake/ kuyapita majaribio yake, au
Hujafanya kitu unachotakiwa kufanya (hasa kifedha).
Hivyo vitamfanya mwanamke awe na wasi wasi kuhusu ujasiri wako.
.
Kazi yako kama mwanaume ni kumfanya afunguke tena. Mwanamke akikufungukia kihisia, pia atakufungulia miguu yake. Lakini mwanamke aliyejifunga kihisia kwako, ataifunga miguu yake kwako pia.
Hakikisha unaanza kuwasiliana naye vizuri, unampa nafasi na unamruhusu kufunguka kwako.
Muulize maswali zaidi ya kutaka kuwa sawa, muulize akuambie vyote vinavyomsumbua mpaka mwenyewe aseme “asante, najisikia amani sasa”.
Muda mwingine unaweza muuliza, “unataka nikusikilize tu au nikushauri” ili usije ukajikuta unamshauri mtu anayetaka kusikilizwa tu.
.
Hata hivyo mwanaume unatakiwa kuhakikisha unatengenezea mahusiano mazingira mazuri.
Na mwelekeo wa mahusiano yenu upo mikononi mwako kuuendesha.