Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Chadema ndo ilikuwa inatia wagombea hofu wa vyama vingine.kwa kutokushiriki sasa imefungulia kila mtu ambaye anajua atagombea kupitia CCM atashinda bila wasiwasi.
Na wakati huo huo vyama vingine vya upinzani vinaona hii ni nafasi ya wao kuweza pata wabunge kwa kuwa ni wazi kuna majimbo ambayo wataachiwa ili kuweza balance kidogo shughuli za kibunge.
Sasa every Tom , Dick and Harry wants to be a MP. Na watu wa CCM na vyama rafiki wanafurahia kuwa hili libaki kama lilivyo kusiwe na mabadiliko kutoka NRNE ibaki vivyo hivyo.
Na wakati huo huo vyama vingine vya upinzani vinaona hii ni nafasi ya wao kuweza pata wabunge kwa kuwa ni wazi kuna majimbo ambayo wataachiwa ili kuweza balance kidogo shughuli za kibunge.
Sasa every Tom , Dick and Harry wants to be a MP. Na watu wa CCM na vyama rafiki wanafurahia kuwa hili libaki kama lilivyo kusiwe na mabadiliko kutoka NRNE ibaki vivyo hivyo.