Mohamed Trans laua Polisi watano!

Mohamed Trans laua Polisi watano!

sasa chuki ya nini?

hujajibu swali unauliza swali,
Polisi mara kadhaa wanaripotiwa kwa tabia zao za unyanyasaj na kuuaua raia bila sababu,kubambikia kesi,
wafe tu,,tena wafe kidhalili kabisa,kama na wewe polisi basi ndo nyienyie mungu awatoe roho zenu kwa uchungu sana
 
kwanini uchunguzi wa awali umeegemea sehemu moja? eti inaonesha ajari imesababishwa na mwendo kasi kwani basi lili buruza gari ndogo kwa mita 120 hivi kwanini uchunguzi wa awali usipime Conc of Alcohol in the Blood za wale waliokesha kwenye sheerehe? ok nimawazo tu kwani si kila dereva anaujuzi xaidi ya abiria' Hivyo hata hao mapolisi wajue kuna wanaujuzi wa kazi za upolisi kuliko wAo mapolisi so acheni Evidence Tampation .try to be fair bhana kwani hiyo inaonesha kabisa ime eat on your side
 
kwanini uchunguzi wa awali umeegemea sehemu moja? eti inaonesha ajari imesababishwa na mwendo kasi kwani basi lili buruza gari ndogo kwa mita 120 hivi kwanini uchunguzi wa awali usipime Conc of Alcohol in the Blood za wale waliokesha kwenye sheerehe? ok nimawazo tu kwani si kila dereva anaujuzi xaidi ya abiria' Hivyo hata hao mapolisi wajue kuna wanaujuzi wa kazi za upolisi kuliko wAo mapolisi so acheni Evidence Tampation .try to be fair bhana kwani hiyo inaonesha kabisa ime eat on your side

sio polisi hawa wa CCP moshi,polisi wanaofanya kazi kwa hisia bila reasoning,wanafanya kazi na media,ww fikiria matukio mangap yanayotokea hata asiye na elim ya upelelez anaweza kuyafanya,polis ambao wanamkamata mtu ana dawa za kulevya,anazinya then wanaanza kusema upelelez unaendelea,mxiuuuuu wafe tu,
 
sio polisi hawa wa CCP moshi,polisi wanaofanya kazi kwa hisia bila reasoning,wanafanya kazi na media,ww fikiria matukio mangap yanayotokea hata asiye na elim ya upelelez anaweza kuyafanya,polis ambao wanamkamata mtu ana dawa za kulevya,anazinya then wanaanza kusema upelelez unaendelea,mxiuuuuu wafe tu,

noted mkuu
 
Hatujaelezwa bado mazingira ya ajali yalikuwaje. Wengi wetu tunakuwa na pupa na kumlaumu dereva wa basi, lakini inawezekana ajali ilisababishwa na dereva wa hiyo Corolla.
 
Hatujaelezwa bado mazingira ya ajali yalikuwaje. Wengi wetu tunakuwa na pupa na kumlaumu dereva wa basi, lakini inawezekana ajali ilisababishwa na dereva wa hiyo Corolla.
Ni Dreva wa Corolla ndio chanzo
Msafara umeanzia hapo Mochwari ya General Hospital, na RPC wa Dodoma Afande Misime
aliongoza msafara wa LandCruiser 5 pick-up tofautina kila moja ikiwa na mwili wa Marehemu (naona saa hizi wameshaelekea makwao

Picha zinatisha sana kwa kweli!Ni sahihi kabisa walikuwepo Askari aliyetambulika
  1. SGT Adolf,
  2. D/c Evalist,
  3. D/c Deogratious,
  4. Wp jac na
  5. Wp jema!
Mungu hawasamehe,Mohamed Trans Imewachinja kabisa vichwa vyote vimepasuka!Chanzo cha ajali ni Mwendo kasi wa Magari yote Mawili.....Kwa niaba ya Askari wote na itifaki imezingatiwa Tunatoashukrani za dhati kwa wote walioshiriki kuwatoa marehemu kwenye gari na kuwapeleka chumba cha kuhifadhia Mahiti!Kwa kweli ni msiba mkubwa ndani ya mkoa wa Dodoma esp ktk wilaya ya kongwa walipokuwa wakifanyia kazi,Mungu hatusamehe dhambi zetu!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

1555492_652796494783691_1502619162_n.jpg


DODOMA+2.jpg


DOM3.jpg

The Capital Tanzania Official Website
cc ndyoko hii ni picha ya Corolla iliyowabeba Maaskari wa Kongwa waliopata ajali huko Mtumba
Picha ya basi la Mohamed Trans ipo lakini ni zima kabisa limeharibika show ya mbele hadi rejetor
limesimamia mawe hapo Kituoni km breki
 
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu
Hivi tusipokua na polisi utaweza kumiliki kitu kuanzia kifaa unachotumia kutumia huu ujumbe hadi ulichovaa? Fikiria tena hiki ulichoandika...
 
me siwapend polisi mkuu siwapend sana,na nshawai kulishwa ban kwa kutoa hisia zangu dhidi ya hawa madhwalim,wafe tu tena wafe kidhalili kabisa

!
!
hawa jamaa mikosi sana yani duh.....ukikutana nao badala ya kujihisi uko safe unatakiwa kuwa tayari kwa lolote. Hawakawii kukuletea utemi, siwapendi sana hawa wtumishi sana yani sana
 
Basi la Mohamed Trans limehusika kwenye ajali na gari dogo lililokuwa limebeba askari polisi na kuwauwa watu watano ambao wote ni askari polisi.

Askari hao walikuwa wanatoka kwenye sherehe yao muda wa saa 11 asubuhi ya leo eneo la mtumba nje kidogo ya manisapaa ya Dodoma.

Sijui mazingira ya hii accident, ila najiuliza kama huyo dereva wa Polisi hakuwa amelewa. Polisi wengi ninaowafahamu ni wanywaji wazuri wa pombe. Sasa najiuliza kama huyo dereva wa Polisi katika hiyo sherehe yeye alikaaa bila kunywa hadi sherehe ikaisha hiyo saa kumi na moja alfajiri.

Hivi askari nao wanafanyiwa driving test kabla ya kupewa leseni ya udereva? Au kwa Polisi kupewa leseni bila test ni sehemu ya marupurupu ya kazi ya upolisi.
 
quote_icon.png
By Wa nyamadyaki

Duh!😱 hatari namna hii.
Hiyo saa 11 hilo bus lilikuwa linatoka wapi? Maana sie Sumatra tujuavyo mabasi yanaanza safar kote nchini saa 12 alfajiri.

...umenena mkuu.
Mohamed Trans wanatabia ya kutoa rushwa..., hasa mabasi yanayotoka mkoani' hawapendi kulala njiani.

Basi kama Polisi hao wamekufa kwa kuwa kuna Polisi wenzao walipokea rushwa toka Mohammed Trans - wamepata somo. Huenda baadhi ya waliopokea rushwa walikuwamo kwenye Corolla.
 
Ninachoamini kila mtanzania kwa namna moja utakuwa na undugu au ujirani na polisi. hao ni vijana wenzetu waliojitolea kutulinda tumepoteza wapiganaji wetu katika ulinzi wa taifa hili. polisi nao ni binadamu hivyo tujue hapo kuna wajane kama watano watoto wasiopungua kumi ambao wameathirika na ajali hiyo poleni ndugu na jamaa na msiba huo. mohamed trans huonekana ajali zake nyingi 7bu ya ni kampuni kubwa na ila magari mengi hivyo uwezekano wa magari yake kupata ajali ni mkubwa zaidi kuliko kampuni zingine.
 
Anyway,pole wafiwa lakini Polisi ni watu wabaya sana, wanakubambikia kesi unafungwa hata miaka 5 bila kosa.
 
Unawachukia walinzi wako? Hawa ni wnanchi wenzetu japo ikifikia kwn siasa wanakuwa wabaguzi wakiwa kwn uniform. wakizivua wanaongea ukweli! Wana utu sana na ni waelewa.

!
!
Mie nina bifu nao tu kote kote, sio watu kabisa hawa jamaa!siwapendi kama nini
 
Back
Top Bottom