Ni mapema sana kuwahukumu. Hata Waislamu waliokuwa na "siasa kali" wamegundua kuwa vurugu sio suluhisho pale ambapo mazungumzo na demokrsia vinaweza kufanyika.
Kitu mabacho ninawalaumu wagombea uchaguzi wote wawili ni kuanza kujitangaza ushindi kabla ya tume ya uchaguzi kutoa matokeo rasmi. Bado Waafrika tuna safari ndefu kuelekea demokrasia ya kweli.
Muhammed Muhammed Mursi kwenye kampeni zake alisema ataifanya JERUSALEM kuwa Capital city of Masr (EGYPT),sasa sijui zilikuwa ni propaganda tu za kupata kura au alimaanisha?Yangu macho. By the way Hongera sana Muslim Brotherhood kwa ushindi,mmepitia misukosuko mingi sana ikiwemo kufungwa jela na kuitwa magaidi.
Mammamia Jeshi la Misri wajanja sana waliweka Katiba itakayo mnyima Raisi atakayechaguliwa kuwa awe Amiri Jeshi Mkuu wakijua Muslim Brotherhood ni Vichaa wanaweza Tangaza Vita na Israel ambayo itakujakucost sana... na huo Ujinga wao walioupania kwenye sera zao...
Chama cha udugu wa kiislam ambapo mgombea wake Dk mohamed Mursi ameshinda uchaguzi wa marudio baada ya kumshinda mgombea mwenzake Ahmed kwa asilimia 52%, mursi ameahidi kuwaunganisha wa misri.a
Kwani umesikia chochote au ni kuhisi tu,mbona sijawahi kusikia Iran inawatesa wakristo au mayahudi.Jamani acheni majungu waacheni watu walioweza kufanya mapinduzi yenye nia nzuri ya kuwatoa ktk umasikini.
Mgombea wa Udugu wa Kiislamu nchini Misri, Mohammed Mursi, ameshinda urais wa nchi hiyo. Muda mchache uliopita, Tume ya Uchaguzi imemtangaza Mursi kuwa rais wa kwanza wa kuchaguliwa wa taifa hilo la Afrika ya Kaskazini, akishinda kwa asilimia 51.7 ya kura zote.
Maelfu ya wafuasi wake wanaendelea kushangiria kwenye uwanja maarufu wa Tahrir, ambako wamekusanyika tangu juzi kushinikiza kutangazwa kwa matokeo.
Mursi, mhadhiri wa chuo kikuu amemshinda waziri mkuu wa zamani wa enzi za Hosni Mubarak, Ahmed Shafiq, ambaye hapo Alhamis wafuasi wake walitangaza kuwa ndiye mshindi. Mursi sasa anakabiliwa na kazi ngumu ya kupatanisha tafauti za kimtazamo na kimadaraka kati ya vyama vinavyofuata siasa za Kiislamu, jeshi na makundi mengine nchini Misri.
Wafuasi wa chama cha Muslim brotherhood wakishangilia matokeo ya urais
Vikosi vya usalama vimeongezwa katika miji na maeneo muhimu ya nchi, huku wakipewa maagizo ya kuchukuwa hatua kali dhidi ya wavunja amani na sheria. Msemaji wa timu ya kampeni ya Mursi, Jihad al-Haddad, amekiambia kituo cha televisheni cha al-Jazeera, kwamba Mursi atalihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa kuelezea mpango wake wa uongozi.
uzuri wa huyu ni Dr hivyo nategemea upeo wake no tofauti na Ponda na wenzake, na inaonekana kutumia hiyo title ya Dr Dr Mohamed Mursi haimsumbui, yeye Mohamed Mursi inatosha, after all Allah anamtambua yeye ni nani paamoja na sisi tuta m-judge kutokana na matendo yake na si title zake.
uzuri wa huyu ni Dr hivyo nategemea upeo wake no tofauti na Ponda na wenzake, na inaonekana kutumia hiyo title ya Dr Dr Mohamed Mursi haimsumbui, yeye Mohamed Mursi inatosha, after all Allah anamtambua yeye ni nani paamoja na sisi tuta m-judge kutokana na matendo yake na si title zake.
Naona hii Ma Sheikh ubwabwa na Ponda wanatakiwa kuisoma hii ya Mwenzao wa Egypt
Early life and education[TABLE="class: metadata plainlinks ambox mbox-small-left ambox-content"]
[TR]
[TD="class: mbox-image"][/TD]
[TD="class: mbox-text"]This section requires expansion.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Morsi was born on 20 August 1951 in the Sharqia Governorate, in northern Egypt. He received a Bachelor's and Master's Degree in engineering from Cairo University in 1975 and 1978, respectively. He then received his PhD in engineering from the University of Southern California in the U.S. in 1982. He was an Assistant Professor at California State University, Northridge from 1982 to 1985. In 1985, he returned to Egypt to teach at Zagazig University.[SUP][5][/SUP] Two of his five children were born in California and are U.S. citizens by birth.[SUP][6][/SUP]
[h=2][edit] Political career[/h]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.