Mo Ndani Ya Fox News

Na hao walinzi nn kiliwazuia kuwasiliana na polisi kiasi mambo leo na wengineo wakaenda kumuona mo nyumbani kwake?kwa nini haikuwa polisi then hospital kujiridhisha uzima wake?
 
Kwa hiyo sasa hv hawawezi tena kukamatwa?
 
Watu na akili zao hutoa habari zao toka kwa mamlaka husika..sio hapa kila mtu ni mtaalam wa intelijensia..

Sijui kwanini polisi hawamchukulii hatua Lema kwa kutoa kauli zenye kuingilia mchakato wa upelelezi.
 
Na hao walinzi nn kiliwazuia kuwasiliana na polisi kiasi mambo leo na wengineo wakaenda kumuona mo nyumbani kwake?kwa nini haikuwa polisi then hospital kujiridhisha uzima wake?

Hii habari kila unavyoendelea kuifuatilia inachefua, nafikiri huu sasa ndio wakati muafaka wangeendeleza lile katazo lao la kuijadili.
 
Tanzania, watekaji wanatoka nchi jirani wanataka hela hawasemi ni kiasi gani halafu wanakuachia wanakupa simu halafu wanaacha bunduki na kupotea
Wanafanya jaribio la kuichoma gari,"wanashindwa" inawezekana ile gari imetengenezwa kwa madini ya asbestos. Na eneo walipomwachia haiingii akilini kwani ni eneo lenye ulinzi mkali. Drama nyingine ni kuacha silaha ndani ya gari. Mi naamini " kuchamba sana utatoka na mavi"
 
Nyani Ngabu hii habari imetikisa kuanzi Latin America , Australia , Canada, hapo EU na mashariki ya kati. Hii kitu ina impact sijui ni kwa namna gani lakini ni habari ya mijini huko duniani

Pesa Nguruvi3!

Ndo kitu pekee ninachoweza kukifikiria.

Mo asingekuwa bilionea sidhani kama wangemzungumzia.

But I could be wrong...
 

umejitetea kama vile mimi ndio mtekaji! hautekwi bana

nimekupata mkuu, thanks for your nice language and clarifications
 
Nyani Ngabu hii habari imetikisa kuanzi Latin America , Australia , Canada, hapo EU na mashariki ya kati. Hii kitu ina impact sijui ni kwa namna gani lakini ni habari ya mijini huko duniani

kaka upo! kimya sana

sioni wa kunipa changamoto umekuwa kimya sana,

haya ya wenzako kuhama yataisha tu!

mimi na wewe kesi yetu ambayo tume i carry over ni kuwa zito msaliti au sio msaliti??. Bado nabisha sio msaliti! sijui umebadili mawazo yako au una msimamo ule ule??
 
Kwa hiyo watekaji walimkabidhi kwa walinzi?
Hiyo hadithi ya simu ya walinzi imekuja baada ya watu kuhoji kuhusu simu

Pamoja na kuwa suspect mkubwa ni system

Bado kuna chances wazazi wa MO walipeleka mzigo, a.k.a ransom au hela!! they will never tell us anything

mzee alikuwa wa kwanza kupigiwa simu, kuliko hata mke wa jamaa!!
 
Mkuu ukichoma moto gari ina maana unazalisha moto mkubwa ukiambatana na moshi na hapo inakua ni rahisi kugundulika hata na mtu aliye mbali.

Kwani unapo litia Moto unabaki hapo ku 'Selfie' ?
 
Pamoja na kuwa suspect mkubwa ni system

Bado kuna chances wazazi wa MO walipeleka mzigo, a.k.a ransom au hela!! they will never tell us anything

mzee alikuwa wa kwanza kupigiwa simu, kuliko hata mke wa jamaa!!
Mkuu waweza kuwa sahihi kabisa, lakini kwa vyovyote vile wakora hao lazima wana mahusiano na system eitha officially or unofficially. Hakuna mkora anaweza kutumia maeneo yale kuhusisha ukora wake bila hofu.
Na kama ni wakora wenye mahusiano na system lakini unofficially basi lazima wana MTU ambaye ni untouchable na asiye muogopa yeyote maana anayeogopwa pekee yeye anammudu. JEE NI NANI HUYO?
 
Hivi unajua kuna watu hadi leo hawajawah kusoma na kuelewa mabalozi wa nyumba kumi hasa baada ya vyama vingi. Wengi Bado wanadhan hawa mabalozi ni wa Ccm tu
 

uko sahihi, mkuu naona unataka kunitega

sina mkojo mimi!!
 
Hivi unajua kuna watu hadi leo hawajawah kusoma na kuelewa mabalozi wa nyumba kumi hasa baada ya vyama vingi. Wengi Bado wanadhan hawa mabalozi ni wa Ccm tu

wengi ni CCM hata hivyo

upinzani ulitakiwa kupambana kuondoa hawa wawepo kama sehemu ya serikali na siyo ya chama chochote

kikubwa na tatizo ni walikuwepo siku zote before vyama vingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…