Mo Ndani Ya Fox News

hii habari imetikisa kuanzi Latin America , Australia , Canada, hapo EU na mashariki ya kati
Kulikua na Mjadala Katika hizo Nchi, au maandishi yanapita tu.. Basi.. Au ilikua breaking news
 
mkuu gymkahan kuna walinzi?

ebu pita wewe pale usiku, kesho uje utoe ushuhuda!!

mnaongea hamjui eneo la vibaka sugu na uporaji wote pale

eti liko karibu na ikulu!!! my foot
 
Kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko aliyetekwa eeh! tuamini maneno yako wewe uliyepo huko Tandahimba au tuamini maneno ya Mo?
Tunajua MO anadanganya kwa kuwa ameachiwa kwa makubaliano flani,reading btn the lines. Hizo analysis unazoziona unatafutwa ukweli wa nini hasa kilitokea,jaribu kutumia common sense japo kidogo.
 
Rubbish, kwa nini wajitie kwenye hatari(risk) ya kuhangaika kuja kumtupa Gymkhana area kama walikwa makini kiasi hicho?
 
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
Mkuu hao walinzi feki ni wale wale watekaji.
Hao walinzi hawakuwa na wasiwasi na hilo gari aijipii alishalionyesha awali.

Hilo Gari la IGP ndo hilo hilo lililomteka Mo.

Tofauti ni hii..


Picha Ya IGP ni Maandalizi ya Kumteka MO

Na Sehemu ya Tukio ni Gari limekywa modified kwa utayari wa kazi.

Yaani hivi...

Watekaji walilipiga picha kwanza lile gari likiwa kwenye matengenezo. Wakatoa lile tairi la akiba na holder yake pamoja na kubadili plate number kisha gari likaingia mzigoni. Picha ya IGP ni Ushahidi kuwa tayari alikuwa na hiyo picha.

Ukilinganisha taarifa mbalimbali za tokea kutekwa MO huna mashaka kabisa kuwa DAB ni muhusika namba moja.

Kuna saa nahisi hata DAB ndo alikuwa anambembeleza MO ale chakula.

Sura ya MO mbele ya Mambosasa ni kama inajiuliza hivi kumbe kikulacho...
 
Nyani Ngabu hii habari imetikisa kuanzi Latin America , Australia , Canada, hapo EU na mashariki ya kati. Hii kitu ina impact sijui ni kwa namna gani lakini ni habari ya mijini huko duniani
Licha ya Afrika kusini kuwa kinara kwa mabilionaires wake kutekwa kusini mwa jangwa la sahara ila bado inachanua.
 
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
Na walinzi hawakuona jitu hata attempt ya kulixhoma moto gari?
 
mkuu gymkahan kuna walinzi?

ebu pita wewe pale usiku, kesho uje utoe ushuhuda!!

mnaongea hamjui eneo la vibaka sugu na uporaji wote pale

eti liko karibu na ikulu!!! my foot

Ulichokosea ni kutokufuatilia nilichoandika awali, mtekwaji na habari zilizotolewa na wazee wetu ndio wamesema walinzi ndio walimpatia jamaa simu akawasiliana na ndugu zake. Hoja yangu ya walizi ndio ilianzia hapo. Nafikiri umenielewa.

Inategemea unaongelea Gymkana ipi, kuna siku mida kama ya saa moja jioni nilikua pale ufukweni usawa wa Gymkana nipondani ya gari, nilishangaa gari lapolisi wale wenye silaha wanaofanya doria walinibudhi sana na kunigombeza sana, walikagua gari kutaka kujua kwanini nipopale mida ile huku wakisema mambo mengine kuwatafutia lawama tu kwa vile pale ni eneo hatari ningeweza hata kuwa nimeshakatwakatwa kama sio kuvamiwa.

Sijataja Ikulu kwa sababu nilikua narejea maelezo yaliyotolewa jana, ukiniongezea huo mzigo utakua unanionea.
 
Mo mwenyewe kaambiw aseme....
 
Tunajua MO anadanganya kwa kuwa ameachiwa kwa makubaliano flani,reading btn the lines. Hizo analysis unazoziona unatafutwa ukweli wa nini hasa kilitokea,jaribu kutumia common sense japo kidogo.
Kwahiyo wewe hiyo ndiyo common sense yako eeh! haya hongera sana.
 
Naona umejikoki kubishana,naomba nikuachie hapa.
 
Na walinzi hawakuona jitu hata attempt ya kulixhoma moto gari?
Mkuu habari za jana nikua Mo alisaidiwa na walinzi wa eneo lile,hayo maswali yako kama waliona gari likichomwa moto,mimi sifahamu.
 
Kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko aliyetekwa eeh! tuamini maneno yako wewe uliyepo huko Tandahimba au tuamini maneno ya Mo?
Kwan wewe unadhan Mo yale ni maneno yake?kaongee na Roma then utajua
 
Ndio mkuu hata mimi ndio nilivyosikia hivyo kua alisaidiwa simu na walinzi,hayo mengine sifahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…