Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 3,127
- 6,084
Mimi ninaye mtafuta mpaka sasa ni Lowassa
sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
Mkuu Ulitaka Wahusike Kivipi Hasa?
Waarabu na wahindi wote ni maboya tu, kwanza hawa tuhusu achaneni nao tu
Kama kawaida kuxhimba kabiri ,kulia lia kwa kupaza sauti!



MKICHANGIA JAMANI MSIVUTE BANGI, hahahahaha nimecheka sana mkuuNINA WASWAS UNA DEGREE YA KITU FLAN, HONGERA SANA UNAONGEA UKWELI NA KWA POINTWewe una uhakika gani kuwa hawajaonyesha ushirikiano? Au na wewe ni member wa familia ya Mengi? Au kuonyesha ushirikiano ni kuita press conference au kufika kwenye msiba personally?
Mbona vitu vingine ni vyakutumia common sense tu!
Nafikia mahali niseme tu akili zetu zinatofautiana. Namaanisha uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo kwa kutumia logic. Wengine mko nyuma sana. Sio makosa yenu ndio akili zenu zilipoishia. Poleni sana.



Nakataa hojaHakuna cha ajabu hapo,Dewj muhindi Baharesa mwarabu {siyo kwamba sijui kama ni mpemba hasha ila wapemba wengi wakipata cent nao hujikuta waarabu} so maybe wamembagua kwa ngozi yake.
Ni maoni yangu,yanaweza kuwa sahihi au yasiwe sahihi.
Hata kijiko eti?Halafu ndo huwa mnawapiganiaaaaa.mnavuka bahari kwa watu ambao hawawezi vuka hata kijito kwa ajili yenu.
MO Ali tweet kwa kutoa pole!Azam TV walishiriki kurusha live jana wakati mwili unaingia, na huwezi jua kama walikuwepo lakini hawakutaka kujionesha, ina maana uliona sura za waombolezaji wote?
Ila black colour tuna matatizo. Kwanza huyu Bharesa unamjua hata kwa sura weye?Acha ubishi wa kijinga wewe kwa kutetea ujinga
Hao mabwana sio watu wakuchangamana ungesema hivyo tungekuelewa acha kuropoka
Mwinyi na uzee wake kafika itakuwa hao?