MO,MANJI,BAKHRESA MSIBA HAMJAUSIKIA

MO,MANJI,BAKHRESA MSIBA HAMJAUSIKIA

Mtajipendekeza sana kwa hao watu, let them show you their true colours.
Ngoja msiba uishe na mambo yatulie njaa ziwasababishe mrudi kujipendekeza tena, Wahindi/Waarabu huwa hawajisumbui na jambo lisilo na financial profits labda kama ni tragedies zinazowagusa direct.
Hao Wadosi ndiyo walitakiwa wawe forefront kuliko hata wanasiasa kwakuwa Dr Mengi alikuwa ni mfanyabiara mwenzao na wala hakuwa mwanasiasa japo wanasiasa ndiyo wamejitoa kimasomaso sana hata kama ni kwa malengo ya political gain kikubwa wamejitoa wakaonekana kwani marehemu alikuwa ni public figure.
 
Mtoa maada anauliza mbona wahindi wakipata matatizo huja mbele kutafuta huruma ya wananchi?
Mbona sisi tukipata matatatizo wao hukosa ushirikiano?
Hivi unajua matatizo wewe? Mtu amekufa kwa amani tu ni matatizo? Kifo ni kitu kigeni kwako? Hali ya Mengi mlikua hamuioni? Au mlitegemea kisa ni tajiri basi asingekufa?

Mtu akishakufa anatakiwa apumzishwe kaburini aombewe tu alale pema basi. Haya mambo ya kutaka kila mtu ajitokeze hadharani aongelee msiba sidhani kama ni jambo la busara.

Kuna wengi sana ambao wameguswa na huu msiba lakini sio lazima kila mtu atokee publicly azungumzie. Huo muda hautoshi wa kila mtu afanye hivyo.

Choke on it!
 
sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
Wakipata matatizo na wew usiende mkuu kwani tatizo liko wapi. Africa tunathamini sana mtu akishakufa sijui kwanini
 
Acha ubishi wa kijinga wewe kwa kutetea ujinga
Hao mabwana sio watu wakuchangamana ungesema hivyo tungekuelewa acha kuropoka
Mwinyi na uzee wake kafika itakuwa hao?
Hivi unajua matatizo wewe? Mtu amekufa kwa amani tu ni matatizo? Kifo ni kitu kigeni kwako? Hali ya Mengi mlikua hamuioni? Au mlitegemea kisa ni tajiri basi asingekufa?

Mtu akishakufa anatakiwa apumzishwe kaburini aombewe tu alale pema basi. Haya mambo ya kutaka kila mtu ajitokeze hadharani aongelee msiba sidhani kama ni jambo la busara.

Kuna wengi sana ambao wameguswa na huu msiba lakini sio lazima kila mtu atokee publicly azungumzie. Huo muda hautoshi wa kila mtu afanye hivyo.

Choke on it!
 
Hapo mi nakukatalia kwenye misiba mikubwa watu wenye ushwishi ktk jamii ni muhimu watokee hata kusaini kitabu cha maombelezo
Umesema ni "muhimu" lakini ujue kuwa sio "LAZIMA".

Kwahiyo jijue kuwa akili zako ni fupi sana na una mambo ya kiswahili sana.

Hata hivyo jua kuwa pamoja na umuhimu wa kujitokeza hao wenye ushawishi, hawawezi kujitokeza wote. Wachache watawawakilisha.

Tatizo hapa mnaongea tu lakini hamjui hata kama hao watu pamoja na kutotokea personally kama wametuma wawakilishi.

Msipende kukurupuka ku judge mambo msiyokuwa na uhakika nayo. Ni ulimbukeni wa kifikra.
 
Watanzania wengi watakufa na akili bikra zisizotumika Kwn wasipotoa salam za rambi rambi mait haitozikwa? Na kama wametoa privite, pamoja na yote ayo wakitoa wasitoe ww unapungukiwa na nn? Acha ujinga kafanye kazi
 
Watanzania wengi watakufa na akili bikra zisizotumika Kwn wasipotoa salam za rambi rambi mait haitozikwa? Na kama wametoa privite, pamoja na yote ayo wakitoa wasitoe ww unapungukiwa na nn? Acha ujinga kafanye kazi
Labda mleta thread hii ana daftari anaandika mahudhurio.
Sasa, sijui na jina langu lipo. .....au yeye ametega macho yake kwa MAGABACHORI tu!
 
Watanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.

Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?

Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Uzungu wa kiasi hiki hatujafikia bado. Tumefundishwa kushirikiana kwenye shida na Raha.
 
Wakikujibu kuwa ndio tumesikia msiba ila tumejua nae huyu marehemu kuanzia 2 may 2019 hawezi kuja misiba yetu kabisa
 
Uzungu wa kiasi hiki hatujafikia bado. Tumefundishwa kushirikiana kwenye shida na Raha.
Wewe una uhakika gani kuwa hawajaonyesha ushirikiano? Au na wewe ni member wa familia ya Mengi? Au kuonyesha ushirikiano ni kuita press conference au kufika kwenye msiba personally?

Mbona vitu vingine ni vyakutumia common sense tu!

Nafikia mahali niseme tu akili zetu zinatofautiana. Namaanisha uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo kwa kutumia logic. Wengine mko nyuma sana. Sio makosa yenu ndio akili zenu zilipoishia. Poleni sana.
 
Yaani watu wanafokeana kabisa kwa msiba
Hivi waende wasiende inakusaidia nini halafu kwani wewe misiba yote huwa unashiriki? Hata ya maeneo yako tu
Kila mtu anaenda kutoa pole kutokana na ukaribu wa mtu na sio umashuhuri
Hakuna ukubwa wala tajiri kwenye roho kutoka wote ni wamoja tu
 
watu wanaishi kwa Code ... we tulia waachie mambo yao .. hao na wewe mnaishi dunia mbili tofauti ... na fasiri yako ya matukio kama haya ni tofauti sana na hao jamaa wanavyoya tafsiri
Kabisa
 
Back
Top Bottom