atouch
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 303
- 184
Kama hawapo Nchini wana hudhuriaje !!??sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
Kama hawapo Nchini wana hudhuriaje !!??sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
SUBASHI PATEL: KIFO CHA MENGI NIPIGO KWA ... - YouTubeSio ujinga mbona wakienda kula bata na watoto wao wanatuonyesha ??? Watuonyeshe UTU pia tuujueWatanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.
Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?
Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Great comment!watu wanaishi kwa Code ... we tulia waachie mambo yao .. hao na wewe mnaishi dunia mbili tofauti ... na fasiri yako ya matukio kama haya ni tofauti sana na hao jamaa wanavyoya tafsiri
Kikwete ,Mwinyi,Gharib Bilal ,Othman Chande ,Juma Mwapachu ,Samia Suluhu ...Hawa ni Wapentekoste ?Kwenye Islam,kuaga mwili hakupo aslan. Hivyo unaweza kukuta sababu ni hizo. Kuzika sawa,ila kwenda kuaga mwili kwa sheria za Uislam,haipo. Sasa kwa mtu kama mzee Bakhresa,sidhan kama anaweza kwenda kuaga mwili,japo anaweza kwenda kuzika. Kuaga mwili na kuzika ni vitu tofauti.
Tanganyika ya sasa sio ile ya 2000 sasa hivi watu hawaend katika mikusanyiko hovyo,sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
sijui kwa hao matajiri wengine, ila familia ya bakhresa siku ya kwanza tu ilituma muwakilishi nyumba kwa mzee mengi pale mikocheni kwenda kutoa mkono wa pole kwa wafiwa.sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
kwahiyoo msiba nao ni private mkuu.........Watanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.
Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?
Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Inawezekana wana sababu zao. Lakini mengi wala familia yake sijawahi iona msiba wowote kitaa kwetu. Old saying "no coincidence in intelligence"sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa