Mo Foundation ni Matapeli namba yangu ila

Mo Foundation ni Matapeli namba yangu ila

Ulitakiwa kujua eligibility ya kampuni kabla. Hukusikia kama walishafutiwa usajili?
Kujua nini tena? Yaani mtu anakukopesha fedha halafu anakuambia umtumie ada kwanza? Kwa nini asikate hiyo ada kwenye fedha anazokukopesha? Kama umewahi kuchukuwa mkopo popote pale ni kwamba ada na mazagazaga mengine yote yanakatwa kutoka kwenye mkopo unaochukuwa.
 
Kujua nini tena? Yaani mtu anakukopesha fedha halafu anakuambia umtumie ada kwanza? Kwa nini asikate hiyo ada kwenye fedha anazokukopesha? Kama umewahi kuchukuwa mkopo popote pale ni kwamba ada na mazagazaga mengine yote yanakatwa kutoka kwenye mkopo unaochukuwa.
Mkuu ulichoandika si ndio nilichoandika?
 
Habari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.

ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
Sasa kwanini wasikate hiyo 52,000/= kwenye mkopo waliotaka kukupa?
 
Habari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.

ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
Ama kweli watanzania mnapenda kutapeliwa. Eti Mo foundation, mara zitto foundation mara tulia foundation. sema kwa akili hizi acha mtapeliwe tu.
Mo hana foundation ya namna hiyo acheni ubwege
 
Katika Maisha yako usikubali kuendeshwa na Hisia Leo kesho daima.

Mambo yanayohusu PESA yanahitaji umakini mkubwa Sana na sio kuona sehemu wanatoa hela wewe ukashawishika .


Pole utaweza kuwa mwalimu Wa watu wengine baada ya hii changamoto.
 
Habari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.

ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
Kama umetapeliwa hadi na hao, bas una safari ndefu sana za kutapeliwa...
 
Inshu wabongo mnapenda sana vitu vya mtelemko sana ndo kinacho wacost!! Watu wanajipgia hela tuuu kama hawana akili nzur na yote ni kwa sababu watu mnakosa maarifa na kutaka vitu vya bureeee
 
Sasabto kama una uwezo wa elfu hamsini mkopo wa nini sasa. Pole lakini kujifunza kuna gharama zake na ndio kama hizo.
 
Back
Top Bottom