Mo Foundation ni Matapeli namba yangu ila

Mo Foundation ni Matapeli namba yangu ila

Kwamba sasa Mwamedi ameenda kuoa Uyole hadi awe na connection na akina Mwakasagule? Pole sana ila baridi kuna mwana anakula pilau muda huu kwa hela yako.
 
Habari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.

ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
Kama hauamini kuwa Mo Foundation ilikuwa haitoi mikopo, muulize Kigwangwala kama alifanikiwa kupata pikipiki
 
Habari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.

ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
wenzio sie SSC tumepigwa cha la macho b20 zetu hatujui atatupa lini au ndo katudhulumu hatuna hamu nae huyo mwamedi TAPELI
 
My people perish because of the lack of knowledge not because of sin and devil.

Elimu Elimu Elimu.
 
Back
Top Bottom