Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,650
Wajinga ndiyo waliwao
Bila kusahau Nandy supermarketAma kweli watanzania mnapenda kutapeliwa. Eti Mo foundation, mara zitto foundation mara tulia foundation. sema kwa akili hizi acha mtapeliwe tu.
Mo hana foundation ya namna hiyo acheni ubwege
Wale walikuwa wanagonga madem kimasihara kwa ahadi ya kaziBila kusahau Nandy supermarket
Sometimes sio kulaumu vyombo,Hii Nchi bhana tunawalaumu vijana wetu kwa kupigwa wakati vyombo vinavyotakiwa kutoa taarifa za matapeli vipo kimya...
Mkuu vijana ndio wanaingia kwenye gemu tuwape Elimu wewe kwa level yako huwezi kuingia hiyo ngoma kwa hiyo tusiwalaumu vijana wanapoingia hizi ngoma wakati taasisi zinaruhusu walikuja Kalyinda watu wamepigwa na taasisi ya kutoa vibali wapo kimya sio wote watajua mambo kwa urahisi ndugu yangu...Sometimes sio kulaumu vyombo,
Hivi wew huoni kama jamaa kapigwa kizembe? Jina sio, na toka lini unapoomba mkopo unalipa fedha ? Tena zaidi ya 10% ya mkopo ?
Mleta hoja sio kujana,mtu aliyejiunga jf mwaka 2013 hawezi kuwa kijana,akipungua sana umri atakuwa na miaka 40.Mkuu vijana ndio wanaingia kwenye gemu tuwape Elimu wewe kwa level yako huwezi kuingia hiyo ngoma kwa hiyo tusiwalaumu vijana wanapoingia hizi ngoma wakati taasisi zinaruhusu walikuja Kalyinda watu wamepigwa na taasisi ya kutoa vibali wapo kimya sio wote watajua mambo kwa urahisi ndugu yangu...
WATU KAMA WEWE NDIO SBB YA HAO WATU KUENDELEA NA HIZO HARAKATI ZAO.Habari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.
ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
Mkuu utapeli hauna umri hawa wanaotapeli hela za wazee wa pension inakuaje?kujua mambo au kutokujua mambo ni wewe na mihangaiko yako kama umedumaa unaweza kufika miaka 50 na wahuni wakakupa ngoma ya Tuma hela kwenye namba hii na ukatuma...Mleta hoja sio kujana,mtu aliyejiunga jf mwaka 2013 hawezi kuwa kijana,akipungua sana umri atakuwa na miaka 40.
Mtu Yuko tukuyu anakupiga wewe uko daslam😆😆😆JAMES MWAKASAGULE
Haya malipo si umefanya leo? Subiri hadi jumatano Mr. Mwakasagule atakujibu. Leo ofisi zimefungwa yupo kwenye likizo ya sikukuuHabari!
Hawa jamaa niliomba mkopo wa laki 5 na nikaambiwa nilipe fees 52,500 ili nipate huu mkopo baada ya kupokea malipo waka block namba zangu.
ALP9BP9NU1F Confirmed. JAMES MWAKASAGULE has received Tsh 52500 on 25-DEC-23 09:27:32.747.
Nimecheka hapa balaa daah eti yupo Mwakaleli huko katoka kuokota parachichi zake kaona ngoja atume ngoma mbili mtandaoni mtu kaingia baada ya kuuliza kabla hajatuma alifanya siri apate peke yake kaja kuuliza baada ya kupigwa...Mtu Yuko tukuyu anakupiga wewe uko daslam😆😆😆