Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,141
- 56,602
Mtu ukiamua jambo lako ambalo umelifanyia analysis hakuna wa kubadili maamuzi yako.Hana lolote anafanya maamuzi kwa kukurupuka.He is not smart enough to be a CEO.
Mtu ukiamua jambo lako ambalo umelifanyia analysis hakuna wa kubadili maamuzi yako.Hana lolote anafanya maamuzi kwa kukurupuka.He is not smart enough to be a CEO.
Stupid.
Ningekua mimi Simba ningemfukuza huyu, wahindi wa napenda kupigiwa magoti, anataka kuwageuza simba watumwa.
Mda mwengine u can't tell a difference between educated human and non educated human.
Wee mburula hajakanusha bali ameomba radhi!“Kilichotokea kwenye akaunti zangu jana kilikuwa ni bahati mbaya, tuko pamoja, tunarudi kwenye ligi tukiwa na nguvu , tunajipanga kwa ajili ya ligi, nawapongeza Mtibwa kwa kuchukua kombe, mimi ni Simba damudamu, nitabaki kuwa Simba" - MO DEWJI
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 daa boraNasikia kina manara walilala getini kwake kumsihi abadili maamuzi
Wee mburula hajakanusha bali ameomba radhi!
Huyu mhindi hafai kwa lo lote anapenda sana kuabudiwa! Sijui wafanyakazi wake wana hali gani!
Wee mburula hajakanusha bali ameomba radhi!
Huyu mhindi hafai kwa lo lote anapenda sana kuabudiwa! Sijui wafanyakazi wake wana hali gani!