momara
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 463
- 490
Hata laana ya staminaMzimu wa aussems wazidi kuwatafuna simba, ifike mahali tufanye maamuzi kiprofesional na sio kwa kusikiliza mashabiki
Hakika Mkuu soon tutaelewana.
watu millioni 20 kwa miaka takribani 80 wameshindwa kujenga hta uwanja wa mazoezi!Kwa jinsi watakavyochimbana kwa hii tafulani Yanga anaenda kuchukua ubingwa this time.
Mambo ya kumtegemea mtu mmoja alete pesa kwenye timu wakati timu ina watu milion 20+ ujinga huu bongo sijui utaisha lini.
Huu ujumbe maana yake wakina kagere na wachezaji kibao wa kigeni wanaolipwa pesa ndefu safari hiyo.
Kweli kutesa kwa zamu ndio mpira wa bongo.
mwekezaji amewekeza hela nyingj cha ajabu timu inashinda mechi nyepesi dhidi ya ndanda, mechi ngumu km za azam, yanga na mtibwa timu inastruggle kupata matokeoDuh
Mwekezaji anataka kila mechi ashinde as if uwanjani anacheza na team/wapinzani vivuli tupu.
Atengeneze timu yake ili aweke pesa zake anakua kama hajaenda shule bhana.
Yale Yale, hao uliowataja nao wana malengo yao pia.mwekezaji amewekeza hela nyingj cha ajabu timu inashinda mechi nyepesi dhidi ya ndanda, mechi ngumu km za azam, yanga na mtibwa timu inastruggle kupata matokeo
sasa jiulize ikiwa mechi za ndani timu inastruggle kupata matokeo vipi kuhusu klabu bingwa dhidi ya al alhly
kwa hili namuunga mkono mo kwa 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Ametulizwa na Makonda, pasipo makonda alikuwa anaondoka huyu...Tatizo ya kuwa na mali ambazo hukutafuta wewe,hafai kuwa kiongozi.Ndo maana hata African Lyon ilimshinda.Idiot kabisa huyu.Ajifunze kuwa na self control.