Mnyika: Tulipeleka barua za kufukuzwa uanachama Wabunge mara mbili

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,033
9,923
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema walieleka barua rasmi kulitaarifu bunge kuhusu kufukuzwa uanachama kwa wabunge 19 walioteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum katika bunge la 12

Mnyika ametoa ushahidi huo leo, baada ya Naibu Spika wa bunge kusema kuwa hawana taarifa ya wabunge kufukuzwa uanachama alipokuwa akisikiliza hoja za mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa

Barua ya kulitaarifu bunge kukoma kwa uanachama wa wabunge wa viti maalumu zilitumwa mara mbili tofauti ikiwa ni Desemba 1, 2020 na Desemba 19, 2020

1619198356306.png
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema walieleka barua rasmi kulitaarifu bunge kuhusu kufukuzwa uanachama kwa wabunge 19 walioteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum katika bunge la 12

Mnyika ametoa ushahidi huo leo, baada ya Naibu Spika wa bunge kusema kuwa hawana taarifa ya wabunge kufukuzwa uanachama alipokuwa akisikiliza hoja za mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa

Barua ya kulitaarifu bunge kukoma kwa uanachama wa wabunge wa viti maalumu zilitumwa mara mbili tofauti ikiwa ni Desemba 1, 2020 na Desemba 19, 2020

View attachment 1761800
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Mkubwa umekwoti au kurejea kifungu au ibara gani ya katiba ya CHADEMA..?

Au umeandika tu kwa kufuata hisia za kichwa chako..?

A simple logic ya kisheria iko hivi...

Hukumu ya awali ya mahakama hutenguliwa na hukumu inayofuata. Na kwa sababu hii mfungwa hawi huru nje ya gereza unless ameshinda rufaa yake...!

Kwa kesi wa wabunge hawa 19 wa CHADEMA, hukumu yao ktk chama chao iko na inakubalika kisheria. Itafutwa na ushindi wa rufaa yao..

Concern yako nadhani ni watasikilizwa lini, au siyo?

Hiyo it's none of our business. Ni mambo yao. Sisi tutazame sheria na katiba yetu tu. Hao wabunge kama wanaona wanachelewa kusikilizwa ili kujua wanachokiita "hatima ya ubunge wao", wanayo fursa pia ya kisheria kuomba uharaka wa kusikilizwa na chama chao..!

Spika na Naibu wa Spika know this truth exactly. Kinachofanyika ni ubabe tu usio na tija wa uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi kwa makusudi...

Na sisi kama nchi inayoongozwa na katiba na sheria na kukatokea kundi fulani la viongozi kama hawa kina Hayati Magufuli, Ndugai nk kupuuza utaratibu wa kisheria, ujue tunakwenda kuwa nchi ya vurugu tu...!
 
Mkubwa umekwoti au kurejea kifungu au ibara gani ya katiba ya CHADEMA..?

Au umeandika tu kwa kufuata hisia za kichwa chako..?

A simple logic ya kisheria iko hivi...

Hukumu ya awali ya mahakama hutenguliwa na hukumu inayofuata km kuna rufaa...

Kwa kesi, hukumu ya wabunge hawa 19 wa CHADEMA iko na inakubalika kisheria. Itafutwa na ushindi wa rufaa yao..

Spika na Naibu wa Spika they know this exactly. Kinachofanyika na ubabe na kuvunja sheria na katiba ya nchi kwa makusudi...

Na sisi kama nchi inayoongozwa na katiba na sheria na kukatokea kundi fulani la viongozi kupuuza utaratibu wa kisheria, ujue tunakwenda kuwa nchi ya vurugu...!
Halafu wakishinda rufaa zao, huku wamevuliwa ubunge na wengine kuapishwa in their replacement itakuwaje? Rejea kilichotokea kwa wabunge wa viti maalum CUF 2018
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Unaongea utadhani hata sheria za shule hujawahi kuzisikia. Ukihukumiwa kifungo ukakata rufaa unaachiwa mpaka rufaa yako isikilizwe?
 
Halafu wakishinda rufaa zao, huku wamevuliwa ubunge na wengine kuapishwa in their replacement itakuwaje? Rejea kilichotokea kwa wabunge wa viti maalum CUF 2018
Kosa moja haliwezi kuhalalisha kosa jingine...

Katiba iko very clear ktk hili, kwamba, kiongozi yeyote wa kisiasa wa kuchaguliwa lazima awe mwanachama wa chama cha siasa kilichosajiliwa kisheria..

Wakipelekwa wengine, that's right so long as utaratibu wa kisheria umefuatwa. Hata hivyo, kuhusu hili CHADEMA wana msimamo wao, kuwa hawatashiriki uharamu wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020..

Na msimamo huu, ndiyo kiini cha mgogoro huu...
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Umekaririshwa ujinga.
Ngoja nikupe elimu.

Kazi ya ofisi ya bunge ni kupokea taarifa ya Chama na kuifanyia kazi na sio kujipa mamlaka ya kutafsiri katiba za vyama husika.

Mara baada ya hao Covid 19 kuvuliwa uanachama na ofisi ya bunge kutaarifiwa, mara moja ofisi ya bunge ilipaswa kusimamisha ubunge wao until further notice kutoka chama husika au vyombo vingine vya kisheria kama mahakama.
Hivyo Covid 19 wangepaswa kutulia kwanza bila ubunge, warejee kwenye chama chao kugania rufaa zao ili kurejeshewa ubunge wao.

Mantiki ni moja tu, kama hatua za kuvuliwa uanachama wao zilikuwa hazijakamilika ndani ya chama chao, chama chao kisingepaswa kuitaarifu ofisi ya spika wa bunge.

Pili, huwezi kukata rufaa kuvuliwa uanachama wako ikiwa kwanza hujakiri kuupoteza uanachama wako kwa kuhukumiwa. Rufaa ni njia ya kupambana kurejeshewa kile ulichopoteza.

Njia pekee kwa akina mdee na genge lake kuendelea kukaa bungeni huku wakiwa wamevuliwa uanachama wao ingetokana na zuio la kimahakama, na sio takwa la mtu mwingine yoyote.

Hilo nililoliandika ndio limekuwa likifanyika miaka yote toka bunge letu liwepo kabla ya bunge la Ndugai.

Mantiki ni moja tu. Kukata rufaa ni hiari ya muhusika (huwezi kujua ataka rufaa ama la, na pia huwezi kumlazimisha), ni mchakato na halifanani baina ya chama kimoja na kingine. Hivyo bunge halipaswi kufanya kazi kwa kubahatisha na kusubiri hiari ya mhusika.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema walieleka barua rasmi kulitaarifu bunge kuhusu kufukuzwa uanachama kwa wabunge 19 walioteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum katika bunge la 12

Mnyika ametoa ushahidi huo leo, baada ya Naibu Spika wa bunge kusema kuwa hawana taarifa ya wabunge kufukuzwa uanachama alipokuwa akisikiliza hoja za mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa

Barua ya kulitaarifu bunge kukoma kwa uanachama wa wabunge wa viti maalumu zilitumwa mara mbili tofauti ikiwa ni Desemba 1, 2020 na Desemba 19, 2020

View attachment 1761800
Ndugai anachokitafuta atakipata
 
Kwani si walikata rufaa baraza kuu?!!! Je baraza kuu limekaa lini kuridhia kufukuzwa kwao? Tafadhalini JM zingatieni taratibu.
Kukata rufaa hakumaanishi hukumu ya kuvuliwa uanachama haijatolewa au haiwezi kutekelezwa ila inatoa nafasi kwa mhukumiwa kujaribu kama anaweza kugeuza hukumu au kufufua kesi upya.
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Mwizi akihukumiwa kufungwa na akakata rufai akiwa gerezani akisubiri rufai yake huwa anatolewa akala uraiyani akisubiri rufai yake? Kumbuka hata lijualikalo alifukuzwa na ndugu alikataa kumchomoa bungeni? Hukumbuku hays ya juzi tu???
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Kama kesha fukuzwa na kakata rufaa, basi anaendelea kutumikia adhabu yake mpaka majibu ya rufaa yatoke, Yakiwa negative anaendelea na adhabu yake, Positive anarejeshewa uanachama wake
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Wanatuchelewesha ,eti
 
Unaongea utadhani hata sheria za shule hujawahi kuzisikia. Ukihukumiwa kifungo ukakata rufaa unaachiwa mpaka rufaa yako isikilizwe?
Wanaweza kuwa wanachama lakini wakawa hawana fursa ya kuteuliwa na chama chao kuwa wabunge wa vitimaalum.
 
Kwani si walikata rufaa baraza kuu?!!! Je baraza kuu limekaa lini kuridhia kufukuzwa kwao? Tafadhalini JM zingatieni taratibu.
Iko hivi umehukumiwa,hata kama umekata rufaa,inabidi hukumu yako ya Kwanza itekelezwe,wakati unasubiri matokeo ya rufaa yako.sasa hawa wapo ndani ya bunge,inabidi wawe nje,maana wameishafukuzwa uanachama,matokeo ya rufaa yakiwa tayari,ndio tutajua nje au ndani
 
Mama kama anataka kufuata haki na kukuza demokrasia, aanze na Spika.
Kama ofisi ya Bunge imepokea barua toka CDM,hawana budi kuitekeleza,kinyume na hapo spika anaenda kinyume na kiapo.
Inamhusu!
 
Back
Top Bottom