Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,033
- 9,923
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema walieleka barua rasmi kulitaarifu bunge kuhusu kufukuzwa uanachama kwa wabunge 19 walioteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum katika bunge la 12
Mnyika ametoa ushahidi huo leo, baada ya Naibu Spika wa bunge kusema kuwa hawana taarifa ya wabunge kufukuzwa uanachama alipokuwa akisikiliza hoja za mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa
Barua ya kulitaarifu bunge kukoma kwa uanachama wa wabunge wa viti maalumu zilitumwa mara mbili tofauti ikiwa ni Desemba 1, 2020 na Desemba 19, 2020
Mnyika ametoa ushahidi huo leo, baada ya Naibu Spika wa bunge kusema kuwa hawana taarifa ya wabunge kufukuzwa uanachama alipokuwa akisikiliza hoja za mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa
Barua ya kulitaarifu bunge kukoma kwa uanachama wa wabunge wa viti maalumu zilitumwa mara mbili tofauti ikiwa ni Desemba 1, 2020 na Desemba 19, 2020