swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
bila kuathiri ushabiki wa vyama na uanachama,ni lazima niseme mnyika hana mpinzani kuwa ni kijana ambaye kwa wafuasi wa vyama basi ni ndoto ya wengi na mkomboz.japo yy si mwepesi kujikubali lakini tunamwambia yy ni mkombozi wa umma.in future mnyika is gonna win politics coz;
-hana tamaa
-hana kashifa
-mtambuzi na mchambuzi wa mambo
-anaijua siasa
-hajikwezi
-anathamn watu
-mtana shati
we prau for you Mnyika and CDM.
-hana tamaa
-hana kashifa
-mtambuzi na mchambuzi wa mambo
-anaijua siasa
-hajikwezi
-anathamn watu
-mtana shati
we prau for you Mnyika and CDM.