nahavache
JF-Expert Member
- Apr 3, 2009
- 871
- 247
Mtu akizidisha ushabiki, anakosa objectivity. Anajiongelea tu, sometimes anakosa hata ushahidi wa kutetea alichoandika. Hivi, kukubali mawazo ya mtu ndio kuburuzwa? Au kupinga hata kile ambacho hakihitaji kupingwa ndio kutoburuzwa? Katika jambo gani Mnyika ameburuzwa na Mbowe au Dr. Slaa, mpaka watu wadhani kuwa Mnyika anaburuzwa na Mbowe na Dr. Slaa?
Ukifuatilia lengo hasa la Zito tangia mwaka 2010 utagundua kuwa lengo lake hasa ni kuzima mafanikio ya vijana wanaongara ndani ya CHADEMA ili angare yeye peke yake. Hata lile suala la kodi ya simcard ilionyesha dhahiri kuwa Zito alitaka aonyeshe watu kuwa yeye ana hekima kuliko Mnyika na January Makamba. Lakini mlengwa haswa alikuwa Mnyika.
Kwa mtazamo wangu, namkubali Mnyika
Ukifuatilia lengo hasa la Zito tangia mwaka 2010 utagundua kuwa lengo lake hasa ni kuzima mafanikio ya vijana wanaongara ndani ya CHADEMA ili angare yeye peke yake. Hata lile suala la kodi ya simcard ilionyesha dhahiri kuwa Zito alitaka aonyeshe watu kuwa yeye ana hekima kuliko Mnyika na January Makamba. Lakini mlengwa haswa alikuwa Mnyika.
Kwa mtazamo wangu, namkubali Mnyika