Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi cha daladala hakirushwi na ITV bali ni TBC1.Kwa hiyo hata habari yako ni ya uongo kuanzia taarifa ya tv ..husika
Mnyika achana na upuuzu huu tushugulikie kero zetu! sisi wakazi wa MISUMI karibu na PANDE hatuna maji, barabara ya kutokea MADALE haipitiki na pia umeme hatuna. Tushugulikie please ili ikifika 2015 tuone kuna kazi hata sisi wa MBEZI MISUMI UMETUJALI!!1Kama kuna mtu anafahamu kilichosemwa kwa ukamilifu wake kwenye kipindi cha Daladala kilichotajwa pamoja na Clouds TV tafadhali naomba anijulishe kupitia johnmnyika@gmail.com au aandike hapa ili nikirejea Tanzania niweze kuchukua hatua. Siku njema
JJ
Juzi nikiwa natizama kipindi cha daladala kinachorushwa na itv kila siku saa moja jioni.kuna tetesi mh. J.mnyika umechukua ela kutoka kwa magari ya maji taka ili yaendelee kumwaga maji taka hayo katika mabwawa ya kiwanda cha urafiki yaliyopo mabibo.je tuhuma hizi zina ukweli?tujulishe wapiga kura wako wa mabibo.