Mnyika, Slaa na Lema kuuawa

Mnyika, Slaa na Lema kuuawa

Hapa hakuna swala la intelligence. Hapa ni wazi kabisa kuwa kuna mambo maovu yanapangwa dhidi ya viongozi wa Chadema.
Hakuna swala lolote la intelligence. In fact, mtu hahitaji intelligence yoyote kummaliza mtu hapa Tanzania.
Hebu chukulia swala lililotokea juzi kati kule Tegeta ambapo msafara wa JK ulipopigwa mawe. Imagine kama mawe yala yangekuwa ni mabomu ya kutupwa kwa mkono (hand grenades), ingekuwaje ?? Wale waliorusha mawe hawakuwa na intelligence yoyote, lakini waliweza kulenga msafara wa JK !!
Usijaribu kujifanya unajua mambo hapa wakati hujui.

Sasa kama kinachosubiriwa ni nini mpaka leo wawe hawajauwawa? hebu nawewe jiulize.....
 
anayejua kuwa wanaua ni waume zako mbowe na slaa waulize huenda wana criminal records zao watokako
 
NI VYEMA KUOMBA DUA YA SOLOMON MAHLANGU YA MWISHO KAMA HALI NI TETE, UNAIJUA?


:hurt:
 
Die silently, unatapatapa nini. Dogo unaye kwenye suruali kenge jike wewe
 
Muulize slaa, mwambie arudishe fedha za ujio wa papa mwaka 1990, aliundiwa kamati na kanisa la tuhuma za wizi huo akaamua kukimbilia siasa na sasa anataka kuzikimbia siasa za chadema kwa kusingizia kifo, amepona mkono? Gwanda lake lina joto mwambie alivuem aliyewashauri uniform hizo aliwaona akili zenu haziwatoshi wote, dsm joto hili kweli mnavumilia hivi hivi, kweli ninyi wahalifu
 
Slaa hata aseme nn hatuwezi kimuamini kwanza mwizi huyu jamaa hebu fikiria kugombea tu urais kaiba mke wa mtu je akiupata urais si ndo ataiba nchi yote lol!
 
Cha msingi athibitishe na kama kweli serikali iwajibishwe na kama si kweli wawajibishwe kwa mujibu wa sheria

Naomba kufaham je serikali hii inataka watu wa namana gani?

Itasifiwa mpaka lini? Yeyote asemaye ukweli auawe basi tangazeni wanaoridhia imani yenu watu wajiunge wanaotaka na wasiotaka/wawapingae muwaue mapema
 
Hana lolote silaha huyo arudishe mke wa watu kwani dhambi ya kuiba mke bado inamkosesha raha mpaka anaweweseka.
 
Mimi nafikiri Dr Slaa anatafuta umaarufu haswa kipindi hichi ambapo kila siku umaarufu wake unashuka kwa sababu hana jipya la kuwaeleza wananchi na wanachama wake.

Mimi naamini anajua sharia vizuri sana kwani PhD yake amebobea katika Canon Law. Kwa msingi huo hata sharia za Tz anazijua vizuri na aliwwahi kwa kinywa chake wakti akiapishwa kuwa Mbunge katika bunge lililopita kuwa angezilinda na kuzitii sharia hizo.

Anajuwa fika kuwa unapotishiwa ni vizuri utoe taarifa katika vyombo vya usalama na kama havimini basi hata vyya kimataifa unaweza kuvitumia lakin kuongea katika vyombo vya habari huja solve kitu chochote na wala huwezi pata msaada wowote zaidi ya KUTAKA UMAARUFU.

Labda Dr Slaa aulizwe, Kwa jambo gani alonalo ambalo Serikali ya JMTz imuue? Nafikiri anataka kusafiria nyote ya Dr Ulimboka katika kujipa Umaarufu.

Dr Fikiri kwanza kabla Kunena.
 
Back
Top Bottom