pixel
JF-Expert Member
- Jun 22, 2012
- 1,630
- 406
Mzee anaona umaarufu umeanza kupungua!
mzee gani ambae umaarufu wake umepungua?we chizi nn?
Mzee anaona umaarufu umeanza kupungua!
Wawaue tu Liwalo na liwe.!
Dr Slaa leo ameweka wazi mpango wa kutaka kumuua yeye, Mnyika na Lema unaosukwa sasa kwa sumu au nguvu. Amesema usalama wasimsumbue na maswali maana wanahusika. Hii sasa serikali - Mafia - Mafioso. Source: Channel ten usiku huu, yeye Slaa ameongea
Wanamapinduzi huwa hawaogopi kifo, nilidhani magwanda ni ya msituni kumbe ya urembo tu, nilitaka nishangae watu wenyewe hata National Service hawakupita, kumbe Job Lusinde alikuwa sahihi huko Karatu
only a fool will fall into this trap eti wanataka kuwawa. Mmeshindwa kuwashawishi watanzania na Drs wenu sasa mnakuja na kivyengine. Tushawastukizia mnatafuta cheap publicity. Kama mnaogopa kuwawa mpeni Zitto uwenyekiti basi![KAMATI KUU NDIO INAYOAMUA IMPE NANI KURA NA SIO KAMA UNAVYODHANI!
Umaarufu upi alionao unamvimbisha kichwa tu?
Amemsahau Mtei na Mbowe, na mtakufa kweli kudadadaadeki! Amaaaaaaaaaa. MEN AT WORK
Dawa ni Kuokoka ili hata wakifa walau waambulie uzima wa Milele
Umaarufu upi alionao unamvimbisha kichwa tu?
Wanamapinduzi huwa hawaogopi kifo, nilidhani magwanda ni ya msituni kumbe ya urembo tu, nilitaka nishangae watu wenyewe hata National Service hawakupita, kumbe Job Lusinde alikuwa sahihi huko Karatu
wewe,toa kichwa weka dafu.lusinde alifanya nn karatu?na ikujaje karatu kwenye mada hii?acha pombe,shame on u.
Dr Slaa leo ameweka wazi mpango wa kutaka kumuua yeye, Mnyika na Lema unaosukwa sasa kwa sumu au nguvu. Amesema usalama wasimsumbue na maswali maana wanahusika. Hii sasa serikali - Mafia - Mafioso. Source: Channel ten usiku huu, yeye Slaa ameongea
Maarufu ni Ridhiwani Kikwete kwa wizi wa mali za umma ndio tumjuwaye sisiUmaarufu upi alionao unamvimbisha kichwa tu?
kwa io hao mabwana zako mafisadi kumbe hua wanaua sio?Wanamapinduzi huwa hawaogopi kifo, nilidhani magwanda ni ya msituni kumbe ya urembo tu, nilitaka nishangae watu wenyewe hata National Service hawakupita, kumbe Job Lusinde alikuwa sahihi huko Karatu
Wanamapinduzi huwa hawaogopi kifo, nilidhani magwanda ni ya msituni kumbe ya urembo tu, nilitaka nishangae watu wenyewe hata National Service hawakupita, kumbe Job Lusinde alikuwa sahihi huko Karatu
Hivi inahitaji uwe na inteligency kummaliza mtu kama Lema!!! acheni kulialia,, kibabu kinaona kimesahaulika kinazusha mambo.... hovyo kabisa