MNYIKA: Katiba mpya 2025 tumechelewa

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo ametoa kauli Jana kuwa mchakato wa kupata katiba mpya tayari jambo Hilo haliwezekani ! Ameomba kufanyike marekebisho yenye tija kwenye tume ya uchaguzi.

Mimi nachojiuliza MNYIKA anaposema tumechelewa anamaanisha yeye ndiye aliyechelewesha mchakato huo mbona anatamka maneno ya jumlajumla.


Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.
 
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo ametoa kauli Jana kuwa mchakato wa kupata katiba mpya tayari jambo Hilo haliwezekani ! Ameomba kufanyike marekebisho yenye tija kwenye tume ya uchaguzi.

Mimi nachojiuliza MNYIKA anaposema tumechelewa anamaanisha yeye ndiye aliyechelewesha mchakato huo mbona anatamka maneno ya jumlajumla.


Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.
Buyu la asali linafanya kazi!
 
Tanzania hakuna chama chochote cha Siasa ambacho ni kizuri. Aidha, ktk maisha yako usipende kuwaamini Wanasiasa kwa sababu ni watu WAONGO SANA.
 
Mzee Warioba amenukuliwa mara kadhaa akisema muda unatosha.

Kinachokosekana ni dhamira ya viongozi waliopo.

Hili jambo la Katiba mpya halizuiliki, limeruhusiwa,

Mbingu zitaamua mzozo!!

Tusubiri.
 
Kauli ya Mnyika inanesha chadema ni debe tupu ACT ndiyo chama makini. Kwasabb anachokisema leo Mnyika, ACT wamekiona kitambo sana. Na ndiyo maana wao ACT wakasema tuanzie kwenye marekebisho ya tume ili iwe huru na vifungu vichache vya katiba. Halafu hii tume itatupatia uchaguzi ambao utakuwa huru kwa sehemu fulani.

Baada ya kufanyika kwa uchaguzi kwa usimamizi wa tume huru bunge litakuwa na mchanganyiko wa wabunge wa vyama vyote. Ndipo sheria ya kuunda katiba mpya itungwe mchakato wa katiba mpya ufanyike.

Sasa chadema walikuwa wapi kuliona suala hili mapema?? Wakajitia ukakamavu kwa kusema "oooh bila katiba mpya hakuna uchaguzi". Leo kiko wapi? Ccm wasipofanya hayo marekebisho chadema watafanya nn?
 
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo ametoa kauli Jana kuwa mchakato wa kupata katiba mpya tayari jambo Hilo haliwezekani ! Ameomba kufanyike marekebisho yenye tija kwenye tume ya uchaguzi.

Mimi nachojiuliza MNYIKA anaposema tumechelewa anamaanisha yeye ndiye aliyechelewesha mchakato huo mbona anatamka maneno ya jumlajumla.


Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.
😁😁 Lisu anasemaje?
 
Zitto alishawaambia mpiganie kwanza tume huru ya uchaguzi mkaishia kumtukana leo hii bila aibu mnakiri katiba kwa sasa haiwezekani!!... nani aliwaloga CHADEMA? Au mlidhani wabunge wenu 19 wa viti maalum na mmoja wa kuchaguliwa ndo wangeweza kuwasaidia kwenye kupata katiba mpya?
 
Mzee Warioba amenukuliwa mara kadhaa akisema muda unatosha.

Kinachokosekana ni dhamira ya viongozi waliopo.

Hili jambo la Katiba mpya halizuiliki, limeruhusiwa,

Mbingu zitaamua mzozo!!

Tusubiri.

..Ni vizuri ukajiuliza Mzee Warioba alitoa kauli hiyo lini?

..Sasa hivi tunakaribia mwaka 2024 ambapo tunapaswa kuwa na uchaguzi serikali za mitaa.

..Je, kuanzia sasa mpaka Oct 2024 muda unatosha kutupatia katiba mpya itakayokuwa na tume huru ya uchaguzi?
 
Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.
Mkuu RWANDES , naunga mkono hoja!, Tanzania bado hakuna upinzani wa kuiondoa CCM madarakani!

Hili la upinzani wa Tanzania, nilianza nalo 2015 Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo

Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..?

Jarida la Economist nalo likaja na yake The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja

Hivyo nikauleza ukweli huu Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
Zitto alishawaambia mpiganie kwanza tume huru ya uchaguzi mkaishia kumtukana leo hii bila aibu mnakiri katiba kwa sasa haiwezekani!!... nani aliwaloga CHADEMA? Au mlidhani wabunge wenu 19 wa viti maalum na mmoja wa kuchaguliwa ndo wangeweza kuwasaidia kwenye kupata katiba mpya?

..tatizo sio vyama vya upinzani kama Cdm, Act, Nccr, etc.

..wanaokwamisha Katiba Mpya, na Tume Huru, ni Ccm.

..Misaada iliyowasilishwa bungeni nimekwenda kinyume na mapendekezo ya Act wazalendo, na ripoti ya kikosi kazi cha Prof.Mkandala.
 
..Ni vizuri ukajiuliza Mzee Warioba alitoa kauli hiyo lini?

..Sasa hivi tunakaribia mwaka 2024 ambapo tunapaswa kuwa na uchaguzi serikali za mitaa.

..Je, kuanzia sasa mpaka Oct 2024 muda unatosha kutupatia katiba mpya itakayokuwa na tume huru ya uchaguzi?
Kauli hiyo ya judge WARIOBA katika majuzi kipindi Cha DAKIKA 45 ITV.

Uchaguzi wa MITAA unatakiwa usogezwe mbele Hadi 2025 kupunguza gharama. U haguzi ufanyike Kwa mara Moja, Mkt, Diwani, Mbunge,Rais.

Hivyo tuna miaka miwili ambapo kufikia June 2025 inawezekana kukamilisha.
 
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo ametoa kauli Jana kuwa mchakato wa kupata katiba mpya tayari jambo Hilo haliwezekani ! Ameomba kufanyike marekebisho yenye tija kwenye tume ya uchaguzi.

Mimi nachojiuliza MNYIKA anaposema tumechelewa anamaanisha yeye ndiye aliyechelewesha mchakato huo mbona anatamka maneno ya jumlajumla.


Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.

..CCM ndio wanaokwamisha upatikanaji wa Katiba mpya, na Tume Huru.


..Sasa hivi wamewasilisha miswada ya Sheria za Uchaguzi, na wachambuzi wengi wanasema miswada hiyo ni mibovu.
 
Back
Top Bottom