RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo ametoa kauli Jana kuwa mchakato wa kupata katiba mpya tayari jambo Hilo haliwezekani ! Ameomba kufanyike marekebisho yenye tija kwenye tume ya uchaguzi.
Mimi nachojiuliza MNYIKA anaposema tumechelewa anamaanisha yeye ndiye aliyechelewesha mchakato huo mbona anatamka maneno ya jumlajumla.
Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.
Mimi nachojiuliza MNYIKA anaposema tumechelewa anamaanisha yeye ndiye aliyechelewesha mchakato huo mbona anatamka maneno ya jumlajumla.
Ndugu zangu hivi vyama vya upinzani tunavyoamini tuviangalie kwa undani Zaidi kuna watu wanaamini kwamba hivi vyama vinaweza kuiondoa ccm kwenye box la Kura la hasha Hilo halitokuja kuwezekana Kwani vyama hivi ni vivuli kuwa Tanzania kuna upinzani , upinzani wa Tanzania ni kiini macho kuna watu wananeemeka kwa kuhadaa wananchi kuwa wanakosoa serikali.huku mlango wa nyuma wakila donge Nono la keki ya taifa.